Natafuta future husband

Natafuta future husband

Mwanaume ndo huweka masharti kwa kuwa ndo muoaji

Wewe unaanza masharti unaoa au unaolewa

Anyway wewe anza kuchambua tu siku zikienda utaomba yeyote akuoe wakati utakuwa umechelewa kabisa

Sijui nitumbukie

Tatizo tu la wanawake wa humu huwa waongo tu kwa kuwa hata ukienda pm huwa hawajibu

Teh
Pole mkuu , kumbe hawa beibe walishakufanyia mbaya [emoji23] [emoji23]

Mimi huwa siitikiagi maombi yao maana siwaamini kabisa.
 
Kwa hiyo mimi nisiyeamini hizi fake news Qur'an & Bible nimeshaondolewa kwenye ushindani...?
 
Hilo jina mkuu halipo kwenye mitandao ya kijamii wala simu yake
Huwa tunafuatilia mkuu kama jina lake halisi ukalikosa kwenye mitandao ya kijamii hata simu yake naanza kupata wasiwasi


Teh
Huo wacwac ni wakwako
 
Screenshot_20180307-204510.png
Msalimie Johari
 
Huwaga sielewi mwanamke unakuja kutafuta mwanaume humu! ni ngumu sana kuelewa... nyie simnatongozwa? inamaana waliokufata hamna uliempenda hadi unakuja huku? mmmh

Bora mwanaume kwa sababu yeye anatafutta.
 
Habari wana jf kwa majina naitwa Nailath Nassor 23yrs natafuta mtu wa kunioa,awe serious,mcha mungu,dini yoyote,kabila lolote,umri 25-30 na atakayekuwa tayari kwa vigezo ntakavyomwambia,atakaekuwa interested call me 0621832347
Una matatizo gani mpaka utoe tangazo la kutafuta mchumba kwa umri Hui mdogo ulionao?
 
Back
Top Bottom