Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Pole mkuu , kumbe hawa beibe walishakufanyia mbaya [emoji23] [emoji23]Mwanaume ndo huweka masharti kwa kuwa ndo muoaji
Wewe unaanza masharti unaoa au unaolewa
Anyway wewe anza kuchambua tu siku zikienda utaomba yeyote akuoe wakati utakuwa umechelewa kabisa
Sijui nitumbukie
Tatizo tu la wanawake wa humu huwa waongo tu kwa kuwa hata ukienda pm huwa hawajibu
Teh
Mkuu nenda slow kuna kona kali huko mbele, unaweza kukuta ni Tomboy huyu beibe utahuta.Sjui nimuoe huyu sista tuu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu nenda slow kuna kona kali huko mbele, unaweza kukuta ni Tomboy huyu beibe utahuta.
Usijesema hatukukwambia [emoji2] [emoji2][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngoja nione namna ya kumsitiri bhana!
Ntakuwa mwangalifu
Bas ntakuwa nakushirkisha ili yakinikuta shahidi uepoUsijesema hatukukwambia [emoji2] [emoji2]
Haya bwashee.Bas ntakuwa nakushirkisha ili yakinikuta shahidi uepo
Sawa ww ndo umeona hvyoHuyu ni TISS anawatafuta waandamanaji wa mitandaoni.😀😀😀😀
Huo wacwac ni wakwakoHilo jina mkuu halipo kwenye mitandao ya kijamii wala simu yake
Huwa tunafuatilia mkuu kama jina lake halisi ukalikosa kwenye mitandao ya kijamii hata simu yake naanza kupata wasiwasi
Teh
Kama utapeli ulinifundisha ww bc utakuwa tapeli mwenzanguMi siamini huyu kama si hacker basi ni tapeli...unaanika namba kizembe hivyo..noo..!
Labda ww utakuwa shoga kama mm tomboyMkuu nenda slow kuna kona kali huko mbele, unaweza kukuta ni Tomboy huyu beibe utahuta.
Una matatizo gani mpaka utoe tangazo la kutafuta mchumba kwa umri Hui mdogo ulionao?Habari wana jf kwa majina naitwa Nailath Nassor 23yrs natafuta mtu wa kunioa,awe serious,mcha mungu,dini yoyote,kabila lolote,umri 25-30 na atakayekuwa tayari kwa vigezo ntakavyomwambia,atakaekuwa interested call me 0621832347
Mkuuu huu sasa udomo zege umeshapewa namba ya sim unakuuliza tena hukuu aaaahhh unaboa mkuuNailath are you serious?Upo wapi?