Natafuta future husband

huyo sio muongo ameweka namba kabisa inaonekana yupo serious sema tu mim sijawaza kuoa
 
Na waziri kasema above 20, marufuku shuleni
 
Wewe ni mhaya kwa hiyo mambo yako ya kihaya acha kbs !![emoji16]yaani vigezo utoe wewe au wewe ndo utakuwa unammiliki mwanaume ?
 
Bado mdogo kwa umli ndio tatizo nahitaji above 24
 
Habari wana jf kwa majina naitwa Nailath Nassor 23yrs natafuta mtu wa kunioa,awe serious,mcha mungu,dini yoyote,kabila lolote,umri 25-30 na atakayekuwa tayari kwa vigezo ntakavyomwambia,atakaekuwa interested call me 0621832347
Kwa mavazi hayo kwenye profile,utasota sana kumpata Huyo mchamungu unayemtaka. Hapo utapata limshkaji tu la ovyo ovyo , jarib kubadili uvaaji wako uvae kiheshima
 
Habari wana jf kwa majina naitwa Nailath Nassor 23yrs natafuta mtu wa kunioa,awe serious,mcha mungu,dini yoyote,kabila lolote,umri 25-30 na atakayekuwa tayari kwa vigezo ntakavyomwambia,atakaekuwa interested call me 0621832347
Umri ni tatzo kubwa sana kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…