- Thread starter
- #21
Yeaah ilisafishwa na maji mkuuNdiko ulikotia maji humo kwenye pistons?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeaah ilisafishwa na maji mkuuNdiko ulikotia maji humo kwenye pistons?
Cha kufanya mwaga oil tu uanze upya hapo. Huna ujanja na chunguza coil kama hazijafaYeaah ilisafishwa na maji mkuu
Oil imemwagwa imewekwa mpya na coil zipo sawa kbsaCha kufanya mwaga oil tu uanze upya hapo. Huna ujanja na chunguza coil kama hazijafa
Still bado inazingua?Oil imemwagwa imewekwa mpya na coil zipo sawa kbsa
Tulivo change control box fundi aliniambia inabid tu program funguo ili iwe kama funguo malaya, hapo tumemalza. But gari ukiwasha inawaka ila haiwez kaa silense kwa mda mrefu.Still bado inazingua?
Very simple car to deal with, probably it had very problems ambazo they were to be easily rectified...you chose a wrong mechanic to work on you car..sasa what made you kufikia uamuzi wa kufungua engine? Je kukosa nguvu ilikua ni issue ya gearbox au engine?Mimi ni mkazi wa DSM eneo la Kimara stopover. Namiliki gari ya aina ya IST New model.
Hivi karibuni gari ilipata shida upande wa hydrolic ya gearbox ilikuwa ina leakage na nozzle zilikuwa hazi spray mafuta vizuri kweny engine gari ikawa ina miss na kukosa nguvu.
Nimepeleka gari kwa fundi hivi sasa tunaenda week ya 3 bdo2 ana hangaika nayo, nahisi hata control box wameunguza wao nikapeleka kuchomelea but haikufanya kazi 100%, now nmenunua mpya kwa gharam kubwa imewekwa, shida ilianzia nilipowaambia wasafishe engine, mpk sasa engine ishafunguliwa mara 3, na kuna mda walisahau bolt juu kweny piston ya engine.
Nimechoshwa sasa, natafuta garage nzuri kwajili ya hizi gari zenye umeme mwingi, hiyo gerage iwe na usalama mkubwa ili niweze kuacha gari yangu nikiwa na amani.
Mafundi wengi wanajinyima riziki wao wenyewe.
Namba ya sim: 0783 242247 (ipo watsapp pia)
Comment #19Ulikua unasafisha engine ili iweje? Sijaelewa hapo.
Bwege wa kwanza nani,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Irekebishe kizushi then muuzie bwege mwingine akapambane nayo Gereji
Safi kabisa wakati mwingine nasafiri toka Dar to Singida nawakuta wenye vi Ist,brevis na vidumu vyao vya maji nashikwa huruma basi tu naamua kuendelea na safari.Na gari yangu pia ni Corona, ni mashine haswaa. Safari ndefu ndio nyumbani, mwaka wa nne huu mimi mabadili oil na matairi.
Mulemule mkuu aliyetengeneza hiki kigari ana makazi mazuri saba mbinguniHatari sana hiki chumaView attachment 2472628
Hio second gen ndo new model sasaIST new model ndio ikoje? Ninachojua Toyota walisitisha kutoa ISTs mwaka 2016
second generation Ina engine kama nneHizi IST new model si zina engine ya 2ZR-FE ambayo ni sawa na 1ZZ-FE tu sema inakuwa ni Dual VVT-i ambayo imefungiwa CVT gearbox.
Kilichomponza mwana ni kiherehere wala gari haina shida. Hivi gari ukiiosha engine na maji unapata faida gani? Yani unapopeleka gari Car wash ikasafishwa vizuri kwenye body na matairi inakuwa haitoshi mpaka watu wasafishe na engine ukamringishie nani engine ikiwa safi? Au nani anaona kwenye bonnet humo
Ni kweli mkuu, gari hizi hazina complication, kwanza ukiwa main load ndio engine inapenda, utaona temperature gauge inashuka mpaka chini ya robo. Huko njiani naona tu magari mapya yamepaki ukuuliza eti overheat.Safi kabisa wakati mwingine nasafiri toka Dar to Singida nawakuta wenye vi Ist,brevis na vidumu vyao vya maji nashikwa huruma basi tu naamua kuendelea na safari.
kabisa mkuu tena msimu huu wa mvua temp. inashuka ukiwa safari ndefu haya magari mapya thermostat zinachomolewa gari ukiwasha inalia kama nyuki ukiuliza unaambiwa zimefungwa kwa nchi za baridi sasa unajiuliza Mimi kicorona ni cha Afrika mbona hakisumbui basi unapita tu ila ni vigari vizuri highway kanakula 15km kwa litre na kanatembea hasa kwangu 7A-Fe ni the best engen kwa muda wote nimekinunua kigari toka 2009 na sijabomoa engenNi kweli mkuu, gari hizi hazina complication, kwanza ukiwa main load ndio engine inapenda, utaona temperature gauge inashuka mpaka chini ya robo. Huko njiani naona tu magari mapya yamepaki ukuuliza eti overheat.
unauza mkuuMungu akutie Nguvu,binafsi namiliki kikorona cha mwaka 98 sijawahi kubomoa chochote zaidi ya kubadili oil na vyuma vichokavyo chini ya gari na popote naenda hata mlima wa kuelea mbinguni inapandisha bila tabu mpaka wenye magari yaitwayo mapya wanashangaa namshukuru Mungu kwa neema hiyo.