Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Ukishaelewa kitu kinachoitwa upendo kinavyofanya kazi, basi utagundua anayeipenda Funcargo na anaueiponda, wote wapo sahihi....
Si kila unachokipenda kitapendwa na kila mtu...
Magari ni kama nguo,... T-shirts yako unayoiona ni kali sana, kuna mtu kwake ni dekio tu..
Magari ni kama wanawake, huyo mwanamke wako unayemuona ni pisi kali, classic, kuna watu wanamuona kinyago tu...
Kila mtu ana ladha yake, tumsapoti tu anayeipenda funcargo....ndiyo taste yake imeangukia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kila unachokipenda kitapendwa na kila mtu...
Magari ni kama nguo,... T-shirts yako unayoiona ni kali sana, kuna mtu kwake ni dekio tu..
Magari ni kama wanawake, huyo mwanamke wako unayemuona ni pisi kali, classic, kuna watu wanamuona kinyago tu...
Kila mtu ana ladha yake, tumsapoti tu anayeipenda funcargo....ndiyo taste yake imeangukia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app