Mvumbo
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 3,489
- 12,137
Nimeiona Kupatana.comRactis ya mil 5 ipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeiona Kupatana.comRactis ya mil 5 ipo?
KWANi kuna sehemu zimeandikwa zakike ama Toyota alishawahi sema hizi gari ni za kike ama kwenye menu book kuna mahali pameandika user wakike[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia!yan mwanaume kushuka kwenye funcargo ni sawa na kutembea uchi
duuuKWANi kuna sehemu zimeandikwa zakike ama Toyota alishawahi sema hizi gari ni za kike ama kwenye menu book kuna mahali pameandika user wakike
Ama dadaako ndo kakufundisha hivyo [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Funcargo nzuri sana na hizi nyumba zetu za kupanga kanaingia hadi sebleni!
Ni kweli kabisa. Nasikia Vits hata ukikosa pesa ya mafuta kuna kibatani unabonyeza inasongesha mafuta full tank.funcargo ina shepu mbaya, alafu haipo imara! kiukwel sikushauri ununue funcargo
- kama unataka ya cc ndogo chukua vitz utafurah na roho yako, ni ngumu na zinavumilia shida zote
- kama unataka gari yenye cc ndogo na ipo juu basi chukua Ractis
Chukua vits babu ni gari nzuri ila kuna model na model. Kuna vits ile inaitwa RS kamekaa utamu sana.Yah huenda ikawa kweli ina shepu mbaya, si unajua tena mkuu uzuri wa kitu uko machoni kwa mtazamaji......
Vitz mie hainivutii kabisa ndio maana hata sijaitaja kabisa.
Racti..... Naipenda ila tatizo bei mkuu.
Asante sana kwa ushauri mkuu
Chukua vits babu ni gari nzuri ila kuna model na model. Kuna vits ile inaitwa RS kamekaa utamu sana.
Sijawahi miliki gari,hii gari naipenda tatizo tu iko chini sana kwa sisi wa vijijiniFuncargo huwezi kuifananisha na porte au sienta kwa uimara wa body, hii body yake ni ngumu kama probox na mafuta inakula vizuri mno
goodNakuunga mkono na mguu fancargo hapana Kuna jirani yangu hapa anako kana shape mbaya Kama ilivyo tactic nayo hapana kwa upande wangu lakini chagua Kati ya hizo alizokutajia mdau hapo juu hutojuta badas
Mimi nilinunua vits nilinuta baada ya miezi miwili tu baada ya kupakia mabonge watatu nilishindwa kupanda mlima mdogo tu mpaka nikawashusha nikapanda mwenyewe nikawasubiri kwa mbele