Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
TrueUkishaelewa kitu kinachoitwa upendo kinavyofanya kazi, basi utagundua anayeipenda Funcargo na anaueiponda, wote wapo sahihi.
Kati ya sienta na funcargo hapo mi naona bora sientaFuncargo ...the best car KATIKA gati hizi ndogo inaspace kubwa sana ndani .... Kuliko hata IST .......Bora funcargo kuliko port au sienta even vitz ...Mimi binafsi Nina Funcargo naipenda sana ... Pia itambuliwe kila mtu ana intrest yake hata ukimiliki Hammer inachangamto zake so kisikutishe kitu as long as spear zipo nyingi za Toyota tena Affordable ...usiogope kabisa
Dah we ndio umemaliza kabisa,yan mwanaume kushuka kwenye funcargo ni sawa na kutembea uchi
Nakuunga mkono na mguu fancargo hapana Kuna jirani yangu hapa anako kana shape mbaya Kama ilivyo tactic nayo hapana kwa upande wangu lakini chagua Kati ya hizo alizokutajia mdau hapo juu hutojuta badasSpacio, IST, Ractis, Runx...... Hizo zina shape nzuri
Hiyo vitz yako itakuwa ilikuwa na fuel pump mbovuNakuunga mkono na mguu fancargo hapana Kuna jirani yangu hapa anako kana shape mbaya Kama ilivyo tactic nayo hapana kwa upande wangu lakini chagua Kati ya hizo alizokutajia mdau hapo juu hutojuta badas
Mimi nilinunua vits nilinuta baada ya miezi miwili tu baada ya kupakia mabonge watatu nilishindwa kupanda mlima mdogo tu mpaka nikawashusha nikapanda mwenyewe nikawasubiri kwa mbele
Kweli aisee maana mie nishawahi pandisha na toyota cami cc650 na tulipandisha mlima bila gari kukwamaHiyo vitz yako itakuwa ilikuwa na fuel pump mbovu
Ilinibidi nirudi kuangalia tarehe hasa baada ya kuona bei ya 8.5M ila nikawaza juu ya waraka wa Dr. Philip Mpangoπ juu ya kikokotoo cha dharura 2021Salaam,
Toyota Funcargo ni moja kati ya magari yenye sifa kubwa kabisa kutoka kwenye kampuni ya toyota. Sifa hio nayo ni utumiaji mdodo wa mafuta.
Hizi gari kwakweli zinasifika sana juu ya upande huo wa matumizi madogo ya mafuta, infact kuliko kununua vitz, ni bora hizi. Maana ina nafasi ya kutosha kabisa ndani, na kikubwa zaidi zile siti (za nyuma ) unaweza kuzilaza na ukapata nafasi kubwa zaidi kuweza kuwekea vitu.
MATATIZO YAKE ;
Hakuna gari ambayo hinga matatizo, kila gari inaudhaifu wake.
Hizi gari, udhaifu wake ni;
Shock absobers
Bushes
Bearing
Lakini pamoja na hayo yote, upatikanaji wa spare parts zake ni mkubwa sana, spare parts zake ziko kwa wingi mno.
Ikiwa utahitaji, karibu tuwasiliane. Kwa Tshs 8,500,000 ninaweza kukuletea kutoka japan, mpaka kukabidhi mkononi , utakacholipia ni bima tu basi.
Ahsante
Kulikoni hio Funcargo ni aheri Toyota Sienta kwa kweli japo nacho kimekaa hivyo hivyo ila kina make sense.Daah, wadau mmenipa ngumu nyingi sana za usoni......
Anyway ni kweli FunCargo ina sura nzuri ingawa wengine mnaona mbaya.
Uzuri na ubaya uko machoni pa mtazamaji.
Naomba mnisaidie kiufundi zaidi kuliko kimuonekano.
kigari kimekaa kama tuatu twa mtoto π ila mtu anakaza koo eti ni gari nzuri kuliko hata sienta πππyan kwa shape ile bado kuna watu wanaisifia? ama kweli kipendacho roho..................
Japo hizo gari zote sizikubali ila i would go for sienta atleast ina unafuu kwenye macho yangu.Funcargo ...the best car KATIKA gati hizi ndogo inaspace kubwa sana ndani .... Kuliko hata IST .......Bora funcargo kuliko port au sienta even vitz ...Mimi binafsi Nina Funcargo naipenda sana ... Pia itambuliwe kila mtu ana intrest yake hata ukimiliki Hammer inachangamto zake so kisikutishe kitu as long as spear zipo nyingi za Toyota tena Affordable ...usiogope kabisa
Unapeleka wapi sasa nawewe?
Habari za asubuhi wadau,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji funcargo ingawa bajeti yangu ya 5M ni ndogo lkn ndio nahitaji gari hiyo iwe kuanzia namba C iliyo karibu na D na kuendelea.
Wadau mie hiyo ndio itakua gari yangu ya kwanza, sijawahi kumiliki gari hivyo mwenye nalo tafadhali tuwasiliane, pamoja kuwa ndilo gari ninalohitaji pia nakaribisha maoni au msaada zaidi wa mawazo ya gari ipi ni nzuri kutokana na bajeti yangu hiyo.
Passo nilikua naipenda lkn kutokana na maoni ya kitaalamu niliyoyasoma humu naona passo haitanifaa kwa kazi zangu za humu mjini lkn pia na kwenda mikoani.
Pia nitashukuru sana kama nitapata uzuri na ubaya wa funcargo.
Natanguliza shukrani.
Mimi niliiagiza mwaka jana mwezi wa pili iko poa sana na siijutii , nimefunga sports rims, muziki mkubwa wa Android na woofer kubwa double coil la pioneer huwezi amini kila nikipita watu lazima waitolee machoWatu oooooo...... watu eeeeee.... watu o kwahiyo funcargo ulinunua ama maneno ya watu yalikukwamisha kwene reli??
Dah! Hatari sana [emoji16]yan mwanaume kushuka kwenye funcargo ni sawa na kutembea uchi
Ractis ya mil 5 ipo?funcargo ina shepu mbaya, alafu haipo imara! kiukwel sikushauri ununue funcargo
- kama unataka ya cc ndogo chukua vitz utafurah na roho yako, ni ngumu na zinavumilia shida zote
- kama unataka gari yenye cc ndogo na ipo juu basi chukua Ractis