Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kila la heri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuta mtu anaishi kwa shemeji yake yaani ni KKB (Kula kulala bureee)Passo sio gari
Hiyo pesa nunua bodaboda inayobaki kula
Ndo ilivyo, watu wasio na kitu ndo huwa wanaleta hizo dharau!Unakuta mtu anaishi kwa shemeji yake yaani ni KKB (Kula kulala bureee)
Alaf anadharau gari aina ya passo WAKATI hajawai hata kumiliki milioni moja ya pamoja.
Sikuzungumzii wewe namzungumzia baadhi ya watanzania wenzangu wenye hiyo kasumba.
HahahaUsiguse Nissan extrail kwa bei hiyo utalaani hadi babu zako wafufuke bure
Uko sahihi Mkuu.....mimi baada ya kuwa na uwezo wa kununua gari niliacha dharau.Unakuta mtu anaishi kwa shemeji yake yaani ni KKB (Kula kulala bureee)
Alaf anadharau gari aina ya passo WAKATI hajawai hata kumiliki milioni moja ya pamoja.
Sikuzungumzii wewe namzungumzia baadhi ya watanzania wenzangu wenye hiyo kasumba.
Ndio hapo Sasa Mara utasikia KA BABY WALKER 😊😅Uko sahihi Mkuu.....mimi baada ya kuwa na uwezo wa kununua gari niliacha dharau.
Ukiwa huna uwezo ndio unadharau.....paso ni 10M kuipata.
Sasa unadharau vipi kitu chenye Thamani ya 10M?
Nipe taarifa ya hiyo gari mkuu
Kwa kweli wajirekebishe..Ndo ilivyo, watu wasio na kitu ndo huwa wanaleta hizo dharau!
Ipo harrier old model in mint conditionNINA 4,000,000
NIPE MOJAWAPO 👇
Nissan extrail, alteza, markx , mark2 markX, brevis
Wewe umekariri, kwani unaongelea x-tray za mwaka 2000 zilizokuwa zinasumbua mfumo wa umeme; kuanzia 2nd generation na kuendelea kwa wanaojua magari x-tray ni nzuri na imara sana (heavy duty); Huwezi kulinganisha uimara wake na Rav 4. Unaweza kuifanyia x-tray service kubwa mara moja kwa mwaka; Peleka rav 4 shambani; kila mwezi upo garage...... Endelea kukaririXtrail hata kwa mil 1 unapata
Acheni kumtisha kwani Nissan Xtrail zina changamoto gani? Mbona mi ninayo mwaka wa 7 sasa tena ile ya 2005 na haina shida yoyote?Usiguse Nissan extrail kwa bei hiyo utalaani hadi babu zako wafufuke bure