Natafuta girl friend aliyezaa tayari ambaye hatanipa stress.

Natafuta girl friend aliyezaa tayari ambaye hatanipa stress.

mimituu

Member
Joined
Nov 5, 2012
Posts
61
Reaction score
0
Mimi ni Kijana umri miaka 33, natafuta Rafiki wa kike ambaye ameshatendwa kwenye mapenzi nikiamini hatanisumbua hata kidogo. Awe mweupe, mwenye makalio makubwa makubwa but yasiwe makubwa kupitiliza, awe na kazi yake inayoeleweka. Kama hana kazi basi awe na Elimu ya kuanzia level ya Diploma au degree ili iwe rahisi hata mimi kumtafutia kazi. Natafuta mwenye sifa hizi nikiamini hawezi kunitenda katika Mapenzi! La mwisho asiwe na wivu wa hovyo hovyo. Umri kuanzia 18 years mpaka 37 years. kama yupo ani-inbox.

TUMIA: vumbua89@yahoo.com
 
sijui nikuelekeze nyumba ndogo yangu! Maana nataka kumrejea Muumba wangu ila sasa hii nyumba ndogo yangu imeniganda kisawasawa. Mtoto anaye tena wa umri wa miaka 18 na yeye mwenyewe umri wake haujazidi miaka 35. Makalio mashaallah, na nanilii ni mnato ile mbaya. Elimu Diploma ya Ualimu, kazi tempo! Ila si mweupe kabisa si unajua Mbeya, ila sifa zilizobaki anazo kabisaaaaa
 
Dah Yupo mmoja ana 37 ila ni mweusi na hana mtoto,alishatendwa kwenye mapenzi sijui vigezo vitakufaa,maana weupe na mtoto hana,ana degree.
 
aya jamani wale waliotendwa nafasi ya kazi hiyo ya kulala uchi, njooni mchangamkie, mtendaji mwingine kaja, ila kwenye makalio hapo ndo balaa wayatakia nini wewe?
 
makalio makubwa makubwa utapata mkuuu usijali.... vigezo na masharti kuzingatiwa..... 1377489_593168384080493_1798117381_n.jpg kama huyu
 
aya jamani wale waliotendwa nafasi ya kazi hiyo ya kulala uchi, njooni mchangamkie, mtendaji mwingine kaja, ila kwenye makalio hapo ndo balaa wayatakia nini wewe?

yapo kariakooo kwa mchina asijali.. hakusema anataka makalio original au fake so siyo tatizo kabisa hapo....
 
Dah Yupo mmoja ana 37 ila ni mweusi na hana mtoto,alishatendwa kwenye mapenzi sijui vigezo vitakufaa,maana weupe na mtoto hana,ana degree.

weupe upo dukani ila hapo kwenye mtoto kidogo ndo shida,....
 
Si watazaa tu wote jamani,ila huwa anasema hapendi serengeti boys yeye watu wazima tu,ningejitahidi kumshauri,kuna kijana katokea ana nia kweli.

jamaa nae ataki ambaye ajazaa yawezekana jamaa anawatoto sasa anataka mtu wa kuishi nae na si kuzalishana tena....
 
its good to be honest!!! i am sure watakuchek nadhan hata hapa JF kungeanzishwa jukwaa la watu wanaotafuta mahusiano kama halipo kwani si dhambi kutafuta mtu wa kua na mahusiano naye kwa wale wa maofisin sample space yao ni ndogo sana ya kuchagua mwenza!!!
 
yaani umekosa bahati ndugu.sifa zote ulizotaja ninazo plus uzuri usiokwisha hamu ila tu hapo kwenye weupe na makalio ndio mtihani usiotibika kwangu maana mchina sitaki na mkorogo sipendelei.
Ila usingeleta mbwembwe zako za kuchagua sana leo ungekuwa umepata bonge la mke wa maana na kukuondolea stress zote
;7867641]Mimi ni Kijana umri miaka 33, natafuta Rafiki wa kike ambaye ameshatendwa kwenye mapenzi nikiamini hatanisumbua hata kidogo. Awe mweupe, mwenye makalio makubwa makubwa but yasiwe makubwa kupitiliza, awe na kazi yake inayoeleweka. Kama hana kazi basi awe na Elimu ya kuanzia level ya Diploma au degree ili iwe rahisi hata mimi kumtafutia kazi. Natafuta mwenye sifa hizi nikiamini hawezi kunitenda katika Mapenzi! La mwisho asiwe na wivu wa hovyo hovyo. Umri kuanzia 18 years mpaka 37 years. kama yupo ani-inbox.[/QUOTE]
 
ha ha ha ha ha!!!!!!!!!!!!!!!! mwenzio ndiyo anayataka hayo.....
Hakyanani ya hivyo yanatia kinyaa usipime, unaweza ukashangaa unaishia safari moja tu, ama hata hiyo moja ikawa ya kulazimisha! Nakuapia huyo mwanamke akiwa uchi anatisha kama jini! Ptuuuuu....!
 
Hakyanani ya hivyo yanatia kinyaa usipime, unaweza ukashangaa unaishia safari moja tu, ama hata hiyo moja ikawa ya kulazimisha! Nakuapia huyo mwanamke akiwa uchi anatisha kama jini! Ptuuuuu....!

makoye78 acha hizo bana.... mambo mazuri hayo...
 
we miss chaga hilo kalio au matende ya makalio du mie lote hilo la nini style chache tu. ila mleta uzi vp kama hilo lakufaa?

hili litakuwa linamfaa... yawezekana mwepesi sana unambinua binua unavyotaka....
 
Back
Top Bottom