duuuh bahati hii na sikukuu ndo hizo
raha ya sikukuu uwe na mpenzi bwana! ila mwaka ukianza tunaanza tena upya ..ngoja nitafakari
Duh! Smile I missed u a lot aisee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuuh bahati hii na sikukuu ndo hizo
raha ya sikukuu uwe na mpenzi bwana! ila mwaka ukianza tunaanza tena upya ..ngoja nitafakari
nipo busy siku hizi ndugu yangu acha tuDuh! Smile I missed u a lot aisee!
ahaaaaa dah acha tu maisha bwanaMkuu angalia kigezo cha waliotendwa kinaweza kukutokea puani, manaake wengine saiv wanawaza kulipa kisasi
ngoja nizae basi dah ningekuwa nimezaa ningejisevia live
ahaaaa anataka vitu ready made huyu ..hv wajawazito hapokei?Sasa nitakufuata pm tupange tumtengeneze lini huyo mtoto kabla hujaenda kwa huyo jamaa!!!
ahaaaa anataka vitu ready made huyu ..hv wajawazito hapokei?
basi tupeane mimba the niende na jamaaHa ha ha! Atakuwa anachukuwa wajawazito, si wana watoto bhana sema wako matumboni!!!
we miss chaga hilo kalio au matende ya makalio du mie lote hilo la nini style chache tu. ila mleta uzi vp kama hilo lakufaa?
basi tupeane mimba the niende na jamaa
teh teh teh du sista wewe nouma usifanye mchezo na kalio la muhindi halina nyama ni mifupa, sasa shem anashikilia wapi? rekebisha kidogo sema la kawaida tu kama kitungi.bora mungu kanipa makalio ya kihindi kuliko kuwa kama huyu