MoroGent
Member
- Jan 10, 2018
- 84
- 343
Habari wanajukwaa, natumai wote ni wazima,
Naeomba niende kwene point direct, ni kwa muda sasa nimekaa na kutafakari kuwa siwezi kuendelea kuwa single kutoka mwaka huu,nimefanya juhudi za kutafuta msichana wa kuwa nae lakin kila ninae mface anadai ana mtu na mwinginge hayupo tayari,
Hivyo nimekuja jukwaani hapa kutafuta mdada atakae kuwa serious anatafuta mwanaume anaejielewa ili kupanga maisha, mimi ni kati ya wanaoamini JF ni sehemu ambapo watu wengi ni great mind na wanajielewa, hivyo naamini naeza kupata mtu sahihi tukapendana na akapata heshima anayoihitaji na kutimiza ndoto ya mwanaume ambae amekuwa akimuomba Mungu siku zote.
Nina miaka 27, naishi morotown, amabaye yupo serius karibu PM.
Naomba kuwasilisha.
Naeomba niende kwene point direct, ni kwa muda sasa nimekaa na kutafakari kuwa siwezi kuendelea kuwa single kutoka mwaka huu,nimefanya juhudi za kutafuta msichana wa kuwa nae lakin kila ninae mface anadai ana mtu na mwinginge hayupo tayari,
Hivyo nimekuja jukwaani hapa kutafuta mdada atakae kuwa serious anatafuta mwanaume anaejielewa ili kupanga maisha, mimi ni kati ya wanaoamini JF ni sehemu ambapo watu wengi ni great mind na wanajielewa, hivyo naamini naeza kupata mtu sahihi tukapendana na akapata heshima anayoihitaji na kutimiza ndoto ya mwanaume ambae amekuwa akimuomba Mungu siku zote.
Nina miaka 27, naishi morotown, amabaye yupo serius karibu PM.
Naomba kuwasilisha.