Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya umetisha bro acha nianze kukikaririChukua hicho, ukikimaliza ntakupa kingine
English figure ni kilevi changu sanaWa afu mbili mumeanza kutafuta wapenzi dah eti English figure..
Na chips rojo wamuachie nani
Na wewe unaruhusiwa kutuma maombi utajumuika na wa elf 2Umri unanikosesha mpenzi...huyu anataka wa afu mbili ukiona anayetaka mshangazi nistue
Nipo bro hamna wasiwasiUko na pesa lakini kijana?
HUMPATIHabarini wapendwa,
Mimi ni kijana wa miaka 23 natafuta girlfriend (19-21) awe mwembamba akiwa na English body itakua sifa ya nyongeza urefu wangu ni 120cm sikumbuki vizuri, asiwe mfupi rangi yake sijali kikubwa awe na mvuto hasa akitabasamu.
Awe muongeaji ila sio mbea, awe anasuka ila sio kuweka wigi pia awe na upendo wa dhati na kuheshimu, sijali dini wala level ya elimu, mkoa wowote
Wenye chuki hamkosekaniHUMPATI
Ni futi nne mkuuFuti 3 =120cm
MkopesheUko na pesa lakini kijana?
Shilingi ngapi?Mkopeshe
Hela za kukulea ndo sina totooNa wewe unaruhusiwa kutuma maombi utajumuika na wa elf 2
Sawa mshangazi Tutaleana wote kikubwa uniruhusu niwe na wa elfu mbiliHela za kukulea ndo sina totoo
Muulize sasa ila 500k inatoshaShilingi ngapi?
Unatafuta matatizo baada ya muda utaandika uzi wa kuomba mchango ukatibiwe moyo mpanaHabarini wapendwa,
Mimi ni kijana wa miaka 23 natafuta girlfriend (19-21) awe mwembamba akiwa na English body itakua sifa ya nyongeza urefu wangu ni 120cm sikumbuki vizuri, asiwe mfupi rangi yake sijali kikubwa awe na mvuto hasa akitabasamu.
Awe muongeaji ila sio mbea, awe anasuka ila sio kuweka wigi pia awe na upendo wa dhati na kuheshimu, sijali dini wala level ya elimu, mkoa wowote
Mpatie kijana mwenzioMuulize sasa ila 500k inatosha
Haya nakuandikia namba pm untumieHela zipo mrembo ni ujio wako tu
Na wanawake tunaruhusiwa kusoma?Chukua hicho, ukikimaliza ntakupa kingine
We mtoto kalale ukue, saa5 hii, unafanya nini humu?Na wanawake tunaruhusiwa kusoma?
Wewe je unafanya nini?We mtoto kalale ukue, saa5 hii, unafanya nini humu?
Naandika uzi mrefuu sana, Unanidisturb tu hapa 😂!Wewe je unafanya nini?