Natafuta guta ya mizigo CC250, CC300 kampuni gani nzuri?

Natafuta guta ya mizigo CC250, CC300 kampuni gani nzuri?

Da

Dah! Nimepokea masahihisho mkuu,ahsante.kuu namjibu macho mdaliko sio ww..macho mdaliko anajifanya anakijua kiswahili sana hajui kuwa mtu mwingine anachat lakini Yuko bize nashughuli zake so makosa makosa ya typingi nikawaida
 
It is not. Siyo typo hiyo. Ni kosa linalofanywa na members wengi hapa.
Sawa ww unajua kiswahili icho uko makini nalugha kuliko kutafuta pesa au ndo mpo kwenye ajira za watu au serikali mnapata muda mzuri wakuingia jf kukosoa watu badala mfanye kazi za mabosi wenu
 
Sawa ww unajua kiswahili icho uko makini nalugha kuliko kutafuta pesa au ndo mpo kwenye ajira za watu au serikali mnapata muda mzuri wakuingia jf kukosoa watu badala mfanye kazi za mabosi wenu
Jaribu kutokuwa mpumbavu. Kutafuta fedha siyo idhini ya kutojua kuandika. Mwenzako kaelewa nilichomkosoa ila wewe unajifanya mjuaji. ''icho'' = hicho. Hata wewe ni walewale.
 
Kujua lugha bila Hela ni upumbavu tu
Kuwa na fedha siyo kutokuwa mpumbavu. Kuna majambazi, mafisadi na malaya wengi tu wenye fedha. Na pia kuna wapumbavu wengi tu wenye fedha. Inaonekana ulizaliwa kwenye ukoo wa kimasikini sana ndiyo maana una akili finyu juu ya fedha kama hizi.
 
Anakazi yakukosoa watu lugha ukute hapo hata pesa ya kuanzisha biashara ndogo ya mtaji wa 30m Hana kazi kujifanya mjuaji wa lugha
Wewe ulizaliwa kwenye ufukara sana ndiyo maana unaabudu fedha. Wenzako tuko hatua moja mbele..
 
Mitandaoni kuna mengi sana.

Hivi kwa akili ya kawaida, mtu anahitaji kununua guta, badala aende madukani, anakuja JF kuuliza.

Hapo hapo anakuja mwingine kudai kwamba ni mtaalamu wa maguta na anaweza kumuulizia bei.

Ngoja niishie hapa!
Mhitaji kauliza akiwa Dodoma na akihitaji kununua au kujua bei ya dar ikoje ili aone kama kuna unafuu, ndio maana nikamwambia apime pia na gharama za kusafirishiwa hadi kumfikia kama haitamgharimu,pengine kununua huko endapo anaweza kuokoa pesa.rejea andiko langu la ushauri juu.
Pia binafsi nimekuwa mdau mikubwa wa kununulia bidhaa mbalimbali KWa watu walioko mkoani ikiwemo Guta,bodaboda, airflyer, blenda, Tv, n.k kabla sijapata changamoto ya simu na pia kwenda mlezi Dodoma kuanzisha bakery.kwa sasa Niko Dar KWa masuala kidogo kisha narudi Mlezi Dodoma.nawasilisha.
 
Back
Top Bottom