Papaa pedeshee
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 274
- 394
Ndio wapo kariakoo na baadhi wanawakilisha viwanda vyao vilivyoko mkuranga wanapoundia guta na bodaboda. Kama sikosei na kibaha huwa kipo ila kupata KWa Moja nadhani ni kipengele kidogo.Hivi Kuna wakala mkubwa wa sinoray