FL sio vizuri kusema Daktari mzuri, as long as has the right qualification. It is unethical kwenye udaktari mmoja kujitambulisha kama ni mzuri zaidi ya wengine ndio maana unaona madaktari wa "ukweli" hawana matangazo. Nimekuelewa unachomaanisha , lakini neno zuri ni kusema daktari mwenye uzoefu. Daktari kupewa degree na leseni ya kupractice ndio uzuri wenyewe huo.
Back to your request ; miongoni mwa madaktari bingwa wenye uzoefu mkubwa katika field ya Gynae&Obstretic nao wafahamu mimi ni (in no particular order)
1. Dr.ShafiQ- Agakhan
2. Dr. Kapona -Muhimbili na pia private clinic Tabata (kama sikosei)
3. Prof. Mgaya -Muhimimbili
4. Dr. Muganyizi- Muhimbili