Natafuta hostel au lodge ya bei poa Mkoani Mbeya

Natafuta hostel au lodge ya bei poa Mkoani Mbeya

Kaleruka sasa ni pa hovyo sana. Eti wakati wa 88 walituongezea bei toka 20000 hadi 30000 na mimi nilikuwa humo zaidi ya wiki kaba ya kuanza kwa 88. Ukikaa muda mrefu wale wahudumu wanakuchoka.

DH ni pa hovyo na kuna vitanda vya chuma na hakuna maji ya moto asububi japo msosi na chai yao asubuhi ni nzuri ila browmer ni the best, Ijumaa nakuja kulala hapo.
 
Kaleruka sasa ni pa hovyo sana. Eti wakati wa 88 walituongezea bei toka 20000 hadi 30000 na mimi nilikuwa humo zaidi ya wiki kaba ya kuanza kwa 88. Ukikaa muda mrefu wale wahudumu wanakuchoka.

DH ni pa hovyo na kuna vitanda vya chuma na hakuna maji ya moto asububi japo msosi na chai yao asubuhi ni nzuri ila browmer ni the best, Ijumaa nakuja kulala hapo.

Pale DH vitanda vya chuma watakua walikupeleka vile vya 15k , kuna vitanda vya mbao vizuri tu upande ule ule 20k unaacha bar yao ule mlango unaofuata, halafu chai yao unanywea restaurant ya kuvuka barabara huku kwenye vioo vingi sema pale kelele
 
Pale ulimkuta nani? Muhudumu alikuaje? Kama ukitaka kurudi pale nieleze nikupe namba ya mmiliki na ukimpanga vizuri kwa kutaka kukaa siku nyingi tena zaidi ya mwezi anaweza kukubalansia tu vizuri, lakini best ni apartment mbeya zipo nyingi tu
Nielekeze au nipe contacts za wenye hizo apartments mkuu
 
Kitu cha ajabu Mbeya ni lodges chache hazina Bar sijui kwa nini?
 
Achana na hostel, mbeya n mkoa very cheap kwa mambo mengi, chamsingi ongea vizur na Wananzengo upate room self container ya 50k hapo 50k×4= 200k unajiachia mwenyewe ukitaka na vitu vya ndan utauziwa huku huku then unavyoondoka unavikabidh kwa dalali anapiga bei hela yako inarud hata kwa hasara, achana na mahostel+malodge utaweza gharama za 10k per day× 30days= 300k(laki3) kwa miezi 4 je? Uwe na 1.2milioni[emoji23][emoji23][emoji23], na hapo nimeongelea hostel/gest bubu, ukija kwa lodges bei ni kwanzia 20k -40k+ WEWE KUWEZA?[emoji23]

Tafadhari rudi mezani na uamue upya hesabu zako, achana na lodge mybe kama ww uko vzr kifedha, lkn kama mlala hoi ni bora ukajipangie kageto kako hata ukiwa unalala chini maisha ni yako bana mbeya huwa hatufuatilian kama hiyo mikoa yenu, huku kazii kazii, hapo sasa kazi ni kwako[emoji23]
 
Safi kwa list, lakini mtoa maada anahitaji apartment na sio lodge au hotel, yaani sehemu ya makazi kama ilivo apartment za seabreez au mikocheni unaingia na begi tu ndani unakuta jiko, vyombo vya kupikia, majiko ya gesi au umeme, kitanda, godoro, yaani siku unatoka unakabidhi nyumba ya watu wakihakikisha unatoka kama ulivoingia
Ndo nilivyo elewa mie pia hivyo.
 
Achana na hostel, mbeya n mkoa very cheap kwa mambo mengi, chamsingi ongea vizur na Wananzengo upate room self container ya 50k hapo 50k×4= 200k unajiachia mwenyewe ukitaka na vitu vya ndan utauziwa huku huku then unavyoondoka unavikabidh kwa dalali anapiga bei hela yako inarud hata kwa hasara, achana na mahostel+malodge utaweza gharama za 10k per day× 30days= 300k(laki3) kwa miezi 4 je? Uwe na 1.2milioni[emoji23][emoji23][emoji23], na hapo nimeongelea hostel/gest bubu, ukija kwa lodges bei ni kwanzia 20k -40k+ WEWE KUWEZA?[emoji23]

Tafadhari rudi mezani na uamue upya hesabu zako, achana na lodge mybe kama ww uko vzr kifedha, lkn kama mlala hoi ni bora ukajipangie kageto kako hata ukiwa unalala chini maisha ni yako bana mbeya huwa hatufuatilian kama hiyo mikoa yenu, huku kazii kazii, hapo sasa kazi ni kwako[emoji23]
Hata mie nilitaka nimshauri hivyo,
Nilienda field Mbeya, nilipanga chumba self container, 50k tena kizuri balaaa, nilililipa miezi 3,
Kitanda na godoro nilinunua kwa mtu afu vizuri tyuuh, nkanunua na mazaga ya ndani fresh,

Nilikaa miezi miwili tyuuh, siku ya kuondoka godoro na kitanda niliuza tena nililiridhika kwa ile bei, vitu vingine nilimuachia jirani yangu ni mama ana familia. Mie huyo nikasepaa zangu.

Mbeyaa maisha yako simple mnooo.
 
Hata mie nilitaka nimshauri hivyo,
Nilienda field Mbeya, nilipanga chumba self container, 50k tena kizuri balaaa, nilililipa miezi 3,
Kitanda na godoro nilinunua kwa mtu afu vizuri tyuuh, nkanunua na mazaga ya ndani fresh,

Nilikaa miezi miwili tyuuh, siku ya kuondoka godoro na kitanda niliuza tena nililiridhika kwa ile bei, vitu vingine nilimuachia jirani yangu ni mama ana familia. Mie huyo nikasepaa zangu.

Mbeyaa maisha yako simple mnooo.
Afuate huu ushauri hatopata tabu, vinginevyo labda kama yuko vzr kipesa anataka kulipa mamilion huko lodges&hotel.

Mbeya ukiwa na connection unaweza hata kuishi mwez mzima kwa kiasi kidogo cha pesa bila tatzo, watu wa kule wana roho nzur sana baadhi yao, ama amtafte mtu humu humu anaetokea mbeya amuoneshe machimbo mazuri....
 
Afuate huu ushauri hatopata tabu, vinginevyo labda kama yuko vzr kipesa anataka kulipa mamilion huko lodges&hotel.

Mbeya ukiwa na connection unaweza hata kuishi mwez mzima kwa kiasi kidogo cha pesa bila tatzo, watu wa kule wana roho nzur sana baadhi yao, ama amtafte mtu humu humu anaetokea mbeya amuoneshe machimbo mazuri....
Ndo maana akee, yaan tena akifanya maisha ya ghetto, atasave sana pesaa,

Hata akienda kulee, siku ya kwanza afikie Guest, siku ya pili aende mtaani, atapata connection fasta tyuuh.

Kwanzaa vitu bei chee mnoo, afu vya kumwaga sasa.
 
Ndo maana akee, yaan tena akifanya maisha ya ghetto, atasave sana pesaa,

Hata akienda kulee, siku ya kwanza afikie Guest, siku ya pili aende mtaani, atapata connection fasta tyuuh.

Kwanzaa vitu bei chee mnoo, afu vya kumwaga sasa.
Mpe connection za mitaa huyu asije akaenda kule akatapeliwa na machiz wa mwanjelwa arudi humu kufungua thread ya kuwatukana wanyakyusa+wasafwa[emoji23][emoji23]
 
Mpe connection za mitaa huyu asije akaenda kule akatapeliwa na machiz wa mwanjelwa arudi humu kufungua thread ya kuwatukana wanyakyusa+wasafwa[emoji23][emoji23]
Na wamalila au wandali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntampa no ya mtu wa mbeya, kutoka humu humu JF,
mie no za watu wa kule nlishapoteza hadi ya jirani huyo mama nilomuachia vitu.
 
Na wamalila au wandali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntampa no ya mtu wa mbeya, kutoka humu humu JF,
mie no za watu wa kule nlishapoteza hadi ya jirani huyo mama nilomuachia vitu.
Bora wamalila kulko ukampa ya wale wa ileje wandali huyu atalogwa kuna mishangazi ya kindali ile inajua kukamata waume za watu mpaka unasahau kwenu..mtaftie wastaarabu kidgo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sidhani kama mbeya unaweza kupata kitu unachokitafuta.
Mbeya ni kijiji kilicho changamka
 
Back
Top Bottom