Natafuta internship au kazi pale nitakapo maliza Diploma 2 in computer science. Au constructive criticism

Natafuta internship au kazi pale nitakapo maliza Diploma 2 in computer science. Au constructive criticism

Status
Not open for further replies.
Habari, mimi ni mwanafunzi IFM mwaka wa pili dip in CS(nilianza certificate). Namaliza masomo mwezi wa 7. Natafuta internship, kazi au hata ushauri wa portfolio na skills.

Nina skills za Html, css, JavaScript. JAVA (na oop), Oracle Sql, kotlin (na oop), adobe illustrator na blender 3D. Android app development (junior). Nimependa technology tokea nikiwa mdogo hivyo huwa najifundisha especially app dev. Sina experience kubwa lakini i am willing to learn new things.

Portfolio website: portfolio

Jana nime deploy app (no major bugs)
Nilianza na firebase firestore lakini nikaona watanzania wengi hawana internet muda wote, pia firestore offline sio reliable kabisa. Hivyo nikahamia SQLite na backup inatunzwa firebase storage attached na id ya user.
Mauzo matumizi - Apps on Google Play

Kwasasa najifunza PHP kwaajili ya final project.

Asante.

View attachment 2157575

View attachment 2157577

View attachment 2157581

View attachment 2157583
Upo vizuri puuza comments zinazokukatisha tamaa. Kuna wajuaji wengi humu.

Nimeona page yako ya portfolio kuna animations video na app pia nimeona, kama bado chuo Anza kuzipush project zako sasa hivi usisubiri umalize chuo.

Kwa mfano animations za hadithi za Kiswahili zipo chache YouTube, ukianza kuzitengeneza upload YouTube na uikuze channel yako Kwa muda WA mwaka mmoja mpaka miwili.

Kama utakuwa serious Kwa kipindi hiko utaanza kuingiza chochote kitu.

Na pia unaweza tumia video zako kuomba kazi za Motion Graphics kwenye website ya Upwork.

Pia achana na free web hosting kama una hela nunua server na domain(sio bei kubwa) fungua website na uitumie web yako kutangaza application yako.

Kwenye application pia fikirie kuongeza virtual good(in app purchase) na pia tengeneza app au website inayotarget mataifa ya nje(UK, USa, Canada, Australia nk) Kwa sababu hao angalau wako tayari kununua services zinazouzwa na app.

Na inabidi ujifunze ASO(App store optimization) na SEO(Search Engine Optimisation) na digital market zingine Kwa sababu kuwa na product bila kuwa na watumiaji ni upotezaji WA muda.

Ukiyafanya haya sasa utapata experience kubwa na wala hutohitaji kujitolea Kwa mtu.

Wapuuze kabisa wanakwambia usubiri kumaliza chuo.
 
Una haraka ya nini, au lengo lako msoto wa ajira usukukumbe? Kama unapenda sana unachofanya na hupendi kukaa idle basi jiajiri mwenyewe.
 
Upo vizuri puuza comments zinazokukatisha tamaa. Kuna wajuaji wengi humu.

Nimeona page yako ya portfolio kuna animations video na app pia nimeona, kama bado chuo Anza kuzipush project zako sasa hivi usisubiri umalize chuo.

Kwa mfano animations za hadithi za Kiswahili zipo chache YouTube, ukianza kuzitengeneza upload YouTube na uikuze channel yako Kwa muda WA mwaka mmoja mpaka miwili.

Kama utakuwa serious Kwa kipindi hiko utaanza kuingiza chochote kitu.

Na pia unaweza tumia video zako kuomba kazi za Motion Graphics kwenye website ya Upwork.

Pia achana na free web hosting kama una hela nunua server na domain(sio bei kubwa) fungua website na uitumie web yako kutangaza application yako.

Kwenye application pia fikirie kuongeza virtual good(in app purchase) na pia tengeneza app au website inayotarget mataifa ya nje(UK, USa, Canada, Australia nk) Kwa sababu hao angalau wako tayari kununua services zinazouzwa na app.

Na inabidi ujifunze ASO(App store optimization) na SEO(Search Engine Optimisation) na digital market zingine Kwa sababu kuwa na product bila kuwa na watumiaji ni upotezaji WA muda.

Ukiyafanya haya sasa utapata experience kubwa na wala hutohitaji kujitolea Kwa mtu.

Wapuuze kabisa wanakwambia usubiri kumaliza chuo.
Dah maneno mazuri sana mkuu na umenifumbua macho kwenye mambo mengi. Nitayafanyia kazi. Asante sana.
 
Nathani ungeweka contact ingerahisisha kuwa connected na wenye internships / ajira
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom