Sehem itakayofikika kirahis masaki pamejificha kidogo walio wengi kama wa magomeni, sinza inaweza ikawa changamoto maana uwezo pia unatofautiana..Wa masaki inakua rahis sabab wengi wana usafir..Itakayowaleta ni hudumaUnataka watu wa class zote halafu sisi wa Masaki unatubagua.!
Nashindwa kuingia pm yakoyes mkuu! linafaa vizur tu, kama lipo itapendeza
Kiongozi naomba Contacts zake!Bado nina changamoto ya jengo!! Unaweza cheki PM! NitashukuruNafahamu mtu alikuwa anatafuta mtu wa kupanga jengo lake Tabata Mawezi. Ukiwa interested nikupe contacts zake.
Jengo la ghorofa moja lakini ni eneo ambalo utapata watu wengi wenye kuhitaji huduma ya afya.
Ukitaka kujenga mbeya nishtueAhsante sana!
😂 siye wakarimu sana.karibuhahahah, usijal kwa kina Twambombo!! Ahsante kwa utabiri wako au Vision yako
🤣Unataka watu wa class zote halafu sisi wa Masaki unatubagua.!
Pesa zinapigwa au zinatafutwa?Kama kuna mtu anataka kujenga hospital au dispensary mkoa wa Geita, aje nimuoneshe eneo apige hela.