Natafuta jogging partner

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Jogging partner!!

Awe maeneo ya mbezi beach

Muda wa mazoezi saa kumi na moja hadi saa moja jioni

Hakuna biashara ingine

All gender
 
Awe me au ke mkuu?

"jogging partner!!
awe maeneo ya mbezi beach
muda wa mazoezi saa kumi na moja hadi saa moja jioni
hakuna biashara ingine
all gender"
 
Mimi niko Arusha... Vip siwez kua partner mara moja moja ukija chuga??
 
mkianza jogging pamoja , then mko close katika kutembea ama mazoezi mepesi, jasho la mwanamke na mwanaume+jasho la mwanamke = mhemuko kwa wote. hakuna maswali. mtatiana tu!!!!!! hiyo chemistry hata sijui inafanayje kazi wataalam wa bilogia watwambie hapa. ndio maana hawa persnal trainers wanawakula sana akina mama kiulaini. mlioooa kama mama anenda GYM kwa personal trainer wewe haupo ushaliwa!!! maaan mama akiona ile misulii heheehe. mie spo na siwezi kuwa partner maana utaniingiza majaribuni bure!!
 
Jogging partner!!

Awe maeneo ya mbezi beach

Muda wa mazoezi saa kumi na moja hadi saa moja jioni

Hakuna biashara ingine

All gender
Umejitokeza kwa wakati muhafaka, hata mimi nilikuwa nahitaji partner wa Jogging. Kumbuka! Nahitaji partner na si partners.
 
hayo ni mawazo yako mkuu . sasa tutatiana huko uwanjani? mazoezi hatufanyi chumbani jamani kuna uwanja jirani
 
Heading ya uzi wako nimeona inaendana na hitaji langu, maana hata wewe unahitaji partner siyo partners, au unasemaje natafuta?
heading imebadilishwa na moderators mimi naitaji kampany hata kama ni mmoja poa tu .ni mazoezi tu
 
wewe mnaanzia uwanjani mnaishia ndani. maana specifically mtu wa mbezi mnajog mnapitia juice home heheeee kupooza koo na mwili. ikimbieni dhambi ya uzinzi shetani anakuja kwa rangi nyingi sana. mwishao anakuangusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…