Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
utaondoka unakimbia mpaka goba
Yaani tukimbie masaa mawili pamoja halafu nikimbie peke yangu tena saa lingine peke yangu?
Hapo unanitesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utaondoka unakimbia mpaka goba
Ok, mimi niko Skanska ni PM tupange mikakati.heading imebadilishwa na moderators mimi naitaji kampany hata kama ni mmoja poa tu .ni mazoezi tu
kama huwezi vigezo basi.mimi siogeshi mtu mieYaani tukimbie masaa mawili pamoja halafu nikimbie peke yangu tena saa lingine peke yangu?
Hapo unanitesa
poa nishtulie nina kg mia mwenzio nitapasuka
gym hela sina bwanaIla gym ingekuwa powa sana, wale wana vifaa vingi sana na wanakupa mazoezi kulingana na mahitaji.
Bila kusahau diet ya mauwaji, mi nimeona wife amepungua kutoka kg 85 mpaka sasa ana 60 bila hata kumeza yale madawa yenu ya alovera sijui slim nini.
nashukuru mkuu .Nipe namba ya simu tuwasiliane nitakuwa nakukimbiza toka salenda mpaka mwenge utakuwa fresh
gym hela sina bwana
laki mbili kwa mwezi nitatoa wapi
sawa mkuu nitakupigia so jumangapi na jumangapi?Mi kwa wiki nakimbia Mara tatu toka salenda mpaka mwenge kama upo tayari namba hiyo 0622 /0718294199
Kumbe hata mamoderator wanakijua unachokitafuta!heading imebadilishwa na moderators mimi naitaji kampany hata kama ni mmoja poa tu .ni mazoezi tu
Safi mkuu,ungekuwa unaishi maeneo ya pugu tungetengeneza bonge la kombinenga,nimeaamia maeneo haya majitu hayapendi mazoezi aisee...Jogging partner!!
Awe maeneo ya mbezi beach
Muda wa mazoezi saa kumi na moja hadi saa moja jioni
Hakuna biashara ingine
All gender
duuuh utaniua mkuuKaribu siku moja moja hutajuta nina kimbia (jogging) kutoka kijitonyama napita sinza via ubungo stend kuu nakata kona chuo kikuu natokea mlimani city to mwenge mpaka kijitonyama
Jumamosi Na Juma pili naanzia sayansi napitia kwa mwalimu nyerere moja kwa moja mpaka moroko to Victoria namalizia sayansi tena.
Hutajuta karibu sana tukung'ute uzee
Karibu siku moja moja hutajuta nina kimbia (jogging) kutoka kijitonyama napita sinza via ubungo stend kuu nakata kona chuo kikuu natokea mlimani city to mwenge mpaka kijitonyama
Jumamosi Na Juma pili naanzia sayansi napitia kwa mwalimu nyerere moja kwa moja mpaka moroko to Victoria namalizia sayansi tena.
Hutajuta karibu sana tukung'ute uzee
kesho huamkiDah, hii ni route ya mauaji