Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ruti Dogo sana hilo? Mm nakimbia toka masaki via moroko mpaka magomen then napita muhimbili salendaer to coco beach kisha narud kumaliza Na fitness za kawaida....hii n daily routine kila ifikapo saa kum Na moja jioniiMi kwa wiki nakimbia Mara tatu toka salenda mpaka mwenge kama upo tayari namba hiyo 0622 /0718294199
zoezi la ukweli ni kukimbia tu mkuu,kikubwa uwe na vifaa rafiki vya mazoezi,mp3 raba nyepesi na tracksuit ya kubana mwili,baada ya wiki lete mrejesho hapa,ukikimbia unatikisa mwili wote kasoro masikio tu!Ila gym ingekuwa powa sana, wale wana vifaa vingi sana na wanakupa mazoezi kulingana na mahitaji.
Bila kusahau diet ya mauwaji, mi nimeona wife amepungua kutoka kg 85 mpaka sasa ana 60 bila hata kumeza yale madawa yenu ya alovera sijui slim nini.
Gym trainer hajakuchapia bossIla gym ingekuwa powa sana, wale wana vifaa vingi sana na wanakupa mazoezi kulingana na mahitaji.
Bila kusahau diet ya mauwaji, mi nimeona wife amepungua kutoka kg 85 mpaka sasa ana 60 bila hata kumeza yale madawa yenu ya alovera sijui slim nini.