ashindweeeeeeeeee, hubby kwanza nini kinaendelea hapa??? ni kampani tu au?? kama ni kampani tu si uende na gfsonwin jamani?? Fixed Point, mwaJ na snowhite hebu njooni mnisaidie hapa!Mke wa ujana wangu cacico hebu njoo huku kuna mtu anaichokoza ndoa yetu.
uliwahi hivyo hapa?? nina mashaka na wewe! Madame B, Mtambuzi, watu8, Kipaji Halisi, @bisuu, amu, KakaKiiza na wengineo, nisaidieni kumpa msiri wangu kampani. nipo kwa mama leo, hakika ningemsindikiza! gfsonwin nimesikitika kukosa hii! Kaizer naye aliniambie yupo mtwara anachimba gesi, najua angekuwepo angekupa tu kampani mamito! ila jf ndio kwenyewew, utapata tu mtu! shansarie, DaJane na manshiroo mpo kwa umoja wenu??Aisee......
yaani wewe kwanza unaniudh sana siku hizi.uliwahi hivyo hapa?? nina mashaka na wewe! Madame B, Mtambuzi, watu8, Kipaji Halisi, @bisuu, amu, KakaKiiza na wengineo, nisaidieni kumpa msiri wangu kampani. nipo kwa mama leo, hakika ningemsindikiza! gfsonwin nimesikitika kukosa hii! Kaizer naye aliniambie yupo mtwara anachimba gesi, najua angekuwepo angekupa tu kampani mamito! ila jf ndio kwenyewew, utapata tu mtu! shansarie, DaJane na manshiroo mpo kwa umoja wenu??
hahahhhahahah!!!!!!!!!!!!
ukafikiri nataka mume khaaa!!!
Acha hasirayaani wewe kwanza unaniudh sana siku hizi.
na kampani nimegari kabisa nitaenda alone tuu
Haya jamani leo natafuta wa kutoka nae kwenda Miss Tanzania beauty contest.
Sijali sanaa jinsia mimi awe jinsia yyte ile, lakini ajilipie tiket mwenyewe na awe na uwezo wa kujihudumia like vinywaji nk. Mie nahitaj kampani tuuu mle ndani nisiboreke kwa kukosa wa kupia nae stori hata mkiwa wengi ni poa tu manake mime nataka nipate kampani tukitoka twaweza kutafuta kijiwe tukaruka mziki kidogo.
kama uko tayari nijibu hapa hapa kwenye hii post
Unaogopa kufungiwa nje!!
Msindikize dada yangu , halafu yeye anapiga savanah tu!! (usisahau wallet)
Kwa jinsi unavyoandika posts zako inaonekana kabisa the person who is married to you, is the luckiest man in the world. I would say you are the best wife material here.
aisee!!..............mbona washangaa bestieee??
uliwahi hivyo hapa?? nina mashaka na wewe! Madame B, Mtambuzi, watu8, Kipaji Halisi, @bisuu, amu, KakaKiiza na wengineo, nisaidieni kumpa msiri wangu kampani. nipo kwa mama leo, hakika ningemsindikiza! gfsonwin nimesikitika kukosa hii! Kaizer naye aliniambie yupo mtwara anachimba gesi, najua angekuwepo angekupa tu kampani mamito! ila jf ndio kwenyewew, utapata tu mtu! shansarie, DaJane na manshiroo mpo kwa umoja wenu??
duh mumeo ana taarifa na hii thread?
ninajua anae na watoto mapacha!Umejuaje kama ana mume?
kha! maswali yako mengine huwa siyaelewi! Fixed Point na snowhite kujeni hapa!Umejuaje kama ana mume?
uliwahi hivyo hapa?? nina mashaka na wewe! Madame B, Mtambuzi, watu8, Kipaji Halisi, @bisuu, amu, KakaKiiza na wengineo, nisaidieni kumpa msiri wangu kampani. nipo kwa mama leo, hakika ningemsindikiza! gfsonwin nimesikitika kukosa hii! Kaizer naye aliniambie yupo mtwara anachimba gesi, najua angekuwepo angekupa tu kampani mamito! ila jf ndio kwenyewew, utapata tu mtu! shansarie, DaJane na manshiroo mpo kwa umoja wenu??