Natafuta kampani

Natafuta kampani

uliwahi hivyo hapa?? nina mashaka na wewe! Madame B, Mtambuzi, watu8, Kipaji Halisi, @bisuu, amu, KakaKiiza na wengineo, nisaidieni kumpa msiri wangu kampani. nipo kwa mama leo, hakika ningemsindikiza! gfsonwin nimesikitika kukosa hii! Kaizer naye aliniambie yupo mtwara anachimba gesi, najua angekuwepo angekupa tu kampani mamito! ila jf ndio kwenyewew, utapata tu mtu! shansarie, DaJane na manshiroo mpo kwa umoja wenu??

Shemeji cacico bila kuchimba gesi ntaingiaje huko kwenye manini sijui? khaaa
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsi unavyoandika posts zako inaonekana kabisa the person who is married to you, is the luckiest man in the world. I would say you are the best wife material here.


This is JF,,,,,,,,usibebwe namistari ya humu ndani , uka-imagine/uka-predict maisha nje ya hapa.
 
Back
Top Bottom