Natafuta kazai/kibarua Ifakara mjini

Natafuta kazai/kibarua Ifakara mjini

Tunapitia mengi then umepambana we siku mambo yamegoma umepata buku 2 unamua umeshinde njaa,unatembea kwa mguu toka mjini hadi home unaitunza buku 2 walau ufike home ununue Mihogo mpike na uji uangalie kesho.
Unafika home unampa wife buku 2 afanye maarifa anaishia kuku vunja moyo kwa matusi na kashfa na buku 2 yako.
Kesho hata nguvu ya kupambana utaiotoa wapi.
Baraka na laana kwa mume utoka kwa mwanamke.
Watu tunatofautiana, wengine mihogo wanaona umasikini wakati wengine tunapenda kweli na chai.
 
Watu tunatofautiana, wengine mihogo wanaona umasikini wakati wengine tunapenda kweli na chai.
Hivyo hivyo kwa dagaa na mboga za majani.
Kwako unakula kwa hamu ila mwingine ndo msosi tegemezi daily!!.
 
Hivyo hivyo kwa dagaa na mboga za majani.
Kwako unakula kwa hamu ila mwingine ndo msosi tegemezi daily!!.
Hata kuupata huo kwa siku unashukuru, Ila MUNGU ni mwema anatupa uhai na nguvu ya kuendelea kupabana japo mambo bado ni magumu yani kila siku ni afadhali ya Jana.
 
Bado sijafanikiwa kupata kazi ndugu zangu, vibarua imekuwa ni changamoto kupata. Nipo ifakara mjini, Kwa mwenye uhitaji wa kibarua kwa kazi yoyote halali nipo tayari.
 
Bado sijafanikiwa kupata kazi ndugu zangu, vibarua imekuwa ni changamoto kupata. Nipo ifakara mjini, Kwa mwenye uhitaji wa kibarua kwa kazi yoyote halali nipo tayari.
Upo ifakara maeneo gani ndugu...?

Wewe ni mwenyeji wa apo/una muda gani apo ifoza..?
 
Back
Top Bottom