Kelvin Malila
New Member
- May 24, 2024
- 1
- 6
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau kulog in kwenye account uliyoanzishia uziNilipata Ugonjwa ambao ulinitaka kupumzika kufanya shughuli zote ngumu na pia kuzunguka na magari now nimeshamaliza Tatizo langu na nipo sawa kiafya sina Shida yoyote wala kitu kitakachonizuia
Mbona kama una multiple idsNilipata Ugonjwa ambao ulinitaka kupumzika kufanya shughuli zote ngumu na pia kuzunguka na magari now nimeshamaliza Tatizo langu na nipo sawa kiafya sina Shida yoyote wala kitu kitakachonizuia
Una ongea na nani?Nilipata Ugonjwa ambao ulinitaka kupumzika kufanya shughuli zote ngumu na pia kuzunguka na magari now nimeshamaliza Tatizo langu na nipo sawa kiafya sina Shida yoyote wala kitu kitakachonizuia
Amekujibu wewe😂🤸Una ongea na nani?
Tumia account ya kelvin malila buana ndio maana uliacha kaziNilipata Ugonjwa ambao ulinitaka kupumzika kufanya shughuli zote ngumu na pia kuzunguka na magari now nimeshamaliza Tatizo langu na nipo sawa kiafya sina Shida yoyote wala kitu kitakachonizuia
Sasa ni mtu mmoja ama?Amekujibu wewe😂🤸
Ndio! Alidhani anaendelea kuelezea kupitia id ya kelvin, kumbe yupo kwenye munira🤣Sasa ni mtu mmoja ama?
HowMbona kama una multiple ids
Kuna mtu aliniomba nimsaidie kucreate account 🤣🤣🤣Umesahau kulog in kwenye account uliyoanzishia uzi
Aisee! Mtu mmoja una id ya kike na ya kiume?😥
Akakuomba uendeleze uzi kwa niaba yake pia?Kuna mtu aliniomba nimsaidie kucreate account 🤣🤣🤣
Sasa wewe ni Kevii ama Munirah?Kuna mtu aliniomba nimsaidie kucreate account 🤣🤣🤣
Hii ndo jf aisee!!Umesahau kulog in kwenye account uliyoanzishia uzi
Aisee! Mtu mmoja una id ya kike na ya kiume?😥
Jf sio sehemu ya kuchukulia watu serious, imagine huyu munira alishaleta Uzi huku ana uzoefu wa miaka 8 kuagiza vitu nje, mtu unaweza kua na kimtaji chako ukazama dm ukaambulia machoziAkakuomba uendeleze uzi kwa niaba yake pia?
Nimeamini aisee!Jf sio sehemu ya kuchukulia watu serious, imagine huyu munira alishaleta Uzi huku ana uzoefu wa miaka 8 kuagiza vitu nje, mtu unaweza kua na kimtaji chako ukazama dm ukaambulia machozi
Mimi MuniraSasa wewe ni Kevii ama Munirah?
Mwenye uhitaji wa kazi ni wewe au Kevii?