Natafuta kazi dar

Natafuta kazi dar

Umesahau kulog in kwenye account uliyoanzishia uzi

Aisee! Mtu mmoja una id ya kike na ya kiume?πŸ˜₯
Hahahaha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hahahaha
 
Habari Zenu Ndugu Zangu wa Jamii Forums,
Mimi Ni Kijana Mwenye Umri wa Miaka 28
Naishi Chanika Dar es salaam,
Ninachangamoto Ya Kutafuta Ajira Ndugu zangu
Elimu Yangu Ni Kidato Cha Nne Ngazi Ya cheti
Lakini Nina Professional Ya Kufanya Kazi Yoyote Inayuhusu Maswala ya Accountant (Uhasibu)
Nimefanya Kazi ya Uhasibu Katika Kampuni ya Wa Wahindi Upanga Kwa Mda Wa Miaka 8
Changamoto kidogo zilitokea zimepelekea kusimamishwa kazi hiyo Ndugu zangu wa Jamii Forums
Mwenye Connection yoyote ya kazi Naomba anisaidie
Afike Dm Yangu kwa mawasiliano zaidi
Nataka kukupa kazi lkn interview yako ni,nina kuku wanyama 10 tafuta mteja bei 8000 tu .Ukifaulu hilo nakupa kaz ,thnafuga na untafuta wateja
 
Jf sio sehemu ya kuchukulia watu serious, imagine huyu munira alishaleta Uzi huku ana uzoefu wa miaka 8 kuagiza vitu nje, mtu unaweza kua na kimtaji chako ukazama dm ukaambulia machozi
Udhoefu wa biashara usikufanye ukaacha Kutaka Kazi ya ziada kaka kama Ukiona Mambo hayaendi sawa unajiongeza tu usigande mahali kumoja
 
unanilenga mimi wew πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚acha zako bwan,,sisi tutapotezana humu humu jf
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Daaah nimecheka sana nyie humu ndani kuna watu hovyo sana aiseeeee πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Ms R na wewe usije fanya mambo ya ajabu humu sawa πŸ˜‚πŸ₯ΊπŸ˜‚
 
Back
Top Bottom