Hahahaha πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ hahahahaUmesahau kulog in kwenye account uliyoanzishia uzi
Aisee! Mtu mmoja una id ya kike na ya kiume?π₯
[emoji3][emoji3]Nilipata Ugonjwa ambao ulinitaka kupumzika kufanya shughuli zote ngumu na pia kuzunguka na magari now nimeshamaliza Tatizo langu na nipo sawa kiafya sina Shida yoyote wala kitu kitakachonizuia
Enhee Kevi bwana wako au nduguyo?Mimi Munira
Nataka kukupa kazi lkn interview yako ni,nina kuku wanyama 10 tafuta mteja bei 8000 tu .Ukifaulu hilo nakupa kaz ,thnafuga na untafuta watejaHabari Zenu Ndugu Zangu wa Jamii Forums,
Mimi Ni Kijana Mwenye Umri wa Miaka 28
Naishi Chanika Dar es salaam,
Ninachangamoto Ya Kutafuta Ajira Ndugu zangu
Elimu Yangu Ni Kidato Cha Nne Ngazi Ya cheti
Lakini Nina Professional Ya Kufanya Kazi Yoyote Inayuhusu Maswala ya Accountant (Uhasibu)
Nimefanya Kazi ya Uhasibu Katika Kampuni ya Wa Wahindi Upanga Kwa Mda Wa Miaka 8
Changamoto kidogo zilitokea zimepelekea kusimamishwa kazi hiyo Ndugu zangu wa Jamii Forums
Mwenye Connection yoyote ya kazi Naomba anisaidie
Afike Dm Yangu kwa mawasiliano zaidi
Udhoefu wa biashara usikufanye ukaacha Kutaka Kazi ya ziada kaka kama Ukiona Mambo hayaendi sawa unajiongeza tu usigande mahali kumojaJf sio sehemu ya kuchukulia watu serious, imagine huyu munira alishaleta Uzi huku ana uzoefu wa miaka 8 kuagiza vitu nje, mtu unaweza kua na kimtaji chako ukazama dm ukaambulia machozi
Hii ndio Tz ukishangaa shangaa na kuamini watu ovyo unapigwa ππΎHii ndo jf aisee!!
Uje Dm weka Location na Delivery ipoje na Huduma zako zikoje nipe details za kutoshaNataka kukupa kazi lkn interview yako ni,nina kuku wanyama 10 tafuta mteja bei 8000 tu .Ukifaulu hilo nakupa kaz ,thnafuga na untafuta wateja
Oooooh oooh kajichanganya jamni...Umesahau kulog in kwenye account uliyoanzishia uzi
Aisee! Mtu mmoja una id ya kike na ya kiume?π₯
HupitwiOooooh oooh kajichanganya jamni...
Uuuuh
Nimecheka leoJf sio sehemu ya kuchukulia watu serious, imagine huyu munira alishaleta Uzi huku ana uzoefu wa miaka 8 kuagiza vitu nje, mtu unaweza kua na kimtaji chako ukazama dm ukaambulia machozi
Kithembe hadi kwa kuandikaUdhoefu wa biashara usikufanye ukaacha Kutaka Kazi ya ziada kaka kama Ukiona Mambo hayaendi sawa unajiongeza tu usigande mahali kumoja
Kama naona hivi kuna siku poor nae atajichanganya humu dadek zakeNimeamini aisee!
Nilikua nasikia tu humu mtu ana id ya kike na ya kiume ni hatari sana
Nasubiri na wewe siku ujichanganye πππππππHupitwi
OkNipigie 0747464239
unanilenga mimi wew πππππacha zako bwan,,sisi tutapotezana humu humu jfKama naona hivi kuna siku poor nae atajichanganya humu dadek zake
unanchokoza sioπππππNasubiri na wewe siku ujichanganye πππππππ
Takuwashia motoooo
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£Nipigie 0747464239
ππππππππunanilenga mimi wew πππππacha zako bwan,,sisi tutapotezana humu humu jf
Usije kuwa kama munirah πππππππunanchokoza sioπππππ