Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi hutafutwa kwa kuifuata sehemu unazodhani unaweza kupata.Ukishika tu simu na kutegemea kuipata kazi itakuwa kazi kidogo.Natafuta kazi yeyote iliopo ndani ya jiji la dar es salaam naombeni msaada wa kazi hali ni mbaya
Sawa 😪Kazi hutafutwa kwa kuifuata sehemu unazodhani unaweza kupata.Ukishika tu simu na kutegemea kuipata kazi itakuwa kazi kidogo.
Ipo mkoa ganiNjoo huku Buhigwe tulime maharage,.
Nchi ina ardhi ya kutosha.
Bahari, Mito , maziwa kedekede
Then unasema unatafuta kazi?
Huku nyumban Kwa Makamu wa RaisIpo mkoa gani
Labda anataka ya kuchezesha PS/PlayStation sehemu za mijini.Ngoja tuone.Njoo huku Buhigwe tulime maharage,.
Nchi ina ardhi ya kutosha.
Bahati, Moto , maziwa kedekede
Then unasema unatafuta kazi?
Ndio mkoa gani sipajui kwaoHuku nyumban Kwa Makamu wa Rais
Mkoa wa KinondoniNdio mkoa gani sipajui kwao
Mkoa wa Uvinza wilaya ya Kazuramimba karibu na kijiji cha Kumshindwi.Ndio mkoa gani sipajui kwao
Hakuna mkoa wa kinondoniMkoa wa Kinondoni
Sawa kakaMkoa wa Uvinza wilaya ya Kazuramimba karibu na kijiji cha Kumshindwi.
Labda anasemea mkoa wa kipolisi 😂Hakuna mkoa wa kinondoni
Jini gani kiongoziNjoo na ile I'd yako original mkuu🤣
Lile jini halijakusaidia kazi?jini gani hilo au jini mahaba?
LabdaLabda anasemea mkoa wa kipolisi 😂