Natafuta kazi hata iliyo nje ya taaluma yangu

Natafuta kazi hata iliyo nje ya taaluma yangu

Christian9820

New Member
Joined
Oct 2, 2021
Posts
4
Reaction score
21
Habari wanajukwaa

Mimi ni kijana wa miaka 26

Jina ni Innocent Nyakunga

Makazi kwa sasa ni Shinyanga Mjini.

Elimu nimesoma hadi kidato cha sita kisha nikaenda chuo na kuhitimu Shahada ya sayansi katika usimamizi wa kodi (BACHELOR OF SCIENCE IN TAXATION) mwaka 2022.

Nimefanya internship Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA)

Uzoefu: Ushauri kuhusu maswala ya kodi na biashara kwa ujumla, kufile Ritani zote za TRA. Mifumo yao yote naifahamu fika

Nimekuja kwenu wanajukwaa kupata usaidizi wa kazi ama ajira yoyote. Mimi ni kijana muaminifu, mtiifu na mwenye bidii. Nina afya thabiti na mafunzo ya JKT yamenijenga kuwa muajibikaji na kuweza kuendana na mazingira ya kazi.

Nina uwezo wa kusoma na kuzungumza kwa ufasaha Kiswahili na Kingereza, nina ujuzi pia wa kutumia kompyuta, kufanya mahesabu ya kawaida, kusimamia na kuendesha biashara kwa kiasi.

Ombi langu ni kazi yoyote hata ya nje ya taaluma yangu (isiyohitaji taaluma) nipo tayari kufanya tena kwa ustadi wa hali ya juu, na pia niko tayar kupewa ujuzi mpya wa taaluma ya kazi yoyote(training).

Naomba kuwasilisha kwenu wana JamiiForums, Mungu awatangulie na nina imani nitapata usaidizi pia nipo tayari kujibu kila nitakachoulizwa eidha hapa ama PM.

Mawasiliano yangu ni 0758222404

AHSANTENI
 
Habari wanajukwaa

Mimi ni kijana wa miaka 26

Jina ni Innocent Nyakunga

Makazi kwa sasa ni Shinyanga Mjini.

Elimu nimesoma hadi kidato cha sita kisha nikaenda chuo na kuhitimu Shahada ya sayansi katika usimamizi wa kodi (BACHELOR OF SCIENCE IN TAXATION) mwaka 2022.

Nimefanya internship Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA)

Uzoefu: Ushauri kuhusu maswala ya kodi na biashara kwa ujumla, kufile Ritani zote za TRA. Mifumo yao yote naifahamu fika

Nimekuja kwenu wanajukwaa kupata usaidizi wa kazi ama ajira yoyote. Mimi ni kijana muaminifu, mtiifu na mwenye bidii. Nina afya thabiti na mafunzo ya JKT yamenijenga kuwa muajibikaji na kuweza kuendana na mazingira ya kazi.

Nina uwezo wa kusoma na kuzungumza kwa ufasaha Kiswahili na Kingereza, nina ujuzi pia wa kutumia kompyuta, kufanya mahesabu ya kawaida, kusimamia na kuendesha biashara kwa kiasi.

Ombi langu ni kazi yoyote hata ya nje ya taaluma yangu (isiyohitaji taaluma) nipo tayari kufanya tena kwa ustadi wa hali ya juu, na pia niko tayar kupewa ujuzi mpya wa taaluma ya kazi yoyote(training).

Naomba kuwasilisha kwenu wana JamiiForums, Mungu awatangulie na nina imani nitapata usaidizi pia nipo tayari kujibu kila nitakachoulizwa eidha hapa ama PM.

Mawasiliano yangu ni 0758222404

AHSANTENI
Kila la Kheri Mkuu.
 
Mama Chai Hizi Mkazi kasema mjiajiri Rizimoko anawachora tu mnavyokula msoto mpaka muanze kuwa wezi mchomwe moto ndio furaha iwaingie
 
Back
Top Bottom