Natafuta kazi hata iliyo nje ya taaluma yangu

Natafuta kazi hata iliyo nje ya taaluma yangu

Pole kwa ukosefu wa ajira mkuu, milango itafunguka tu. Jitahidi comment zisikutoe mchezoni zikakuharibia uzi kwa kutoa majibu ya mihemko, humu wapo watu wanaweza kukusaidia ikitokea nafasi. Kila la heri boss.
Amini boss napokea baraka hizi ..... Ikawe khery.. 🙏
 
Unazingua ujue ...... Mimi nakuambia nipe mchongo damu yako unaniita dada.... Daah 😂 🍺🍺
Upo wapi damu yangu mpigie Rizimoko mpigie Rizimoko mwambie huna ramani afanye mchongo wa ajira na kazi mtaani kushakua jau watu wataanza kupigwa ngeta
 
Acha zako naomba kazi
Nenda kwenye page ya Mama Chai Hizi Kazi kule X na IG mwambie Mama nataka kazi ukisema tujiajiri Mama ila mtaani kunatupiga mtaani kumekua kugumua tupeni hizo kazi, kesho utaitwa jengo jeupe ukapewe kazi, niamini nakwambia you should have guts to do that acha uoga
 
Nenda kwenye page ya Mama Chai Hizi Kazi kule X na IG mwambie Mama nataka kazi ukisema tujiajiri Mama ila mtaani kunatupiga mtaani kumekua kugumua tupeni hizo kazi, kesho utaitwa jengo jeupe ukapewe kazi, niamini nakwambia you should have guts to do that acha uoga
Blood usitake msikie nimetolewa kwenye Panton ama sea tax kimya kimya.... Blood ohoo ......

Mje mnianzishie Uzi huku
 
Back
Top Bottom