Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Amini boss napokea baraka hizi ..... Ikawe khery.. 🙏Pole kwa ukosefu wa ajira mkuu, milango itafunguka tu. Jitahidi comment zisikutoe mchezoni zikakuharibia uzi kwa kutoa majibu ya mihemko, humu wapo watu wanaweza kukusaidia ikitokea nafasi. Kila la heri boss.
Upo wapi damu yangu mpigie Rizimoko mpigie Rizimoko mwambie huna ramani afanye mchongo wa ajira na kazi mtaani kushakua jau watu wataanza kupigwa ngetaUnazingua ujue ...... Mimi nakuambia nipe mchongo damu yako unaniita dada.... Daah 😂 🍺🍺
Nipo Dsm blood! Kigamboni FerryUpo wapi damu yangu mpigie Rizimoko mpigie Rizimoko mwambie huna ramani afanye mchongo wa ajira na kazi mtaani kushakua jau watu wataanza kupigwa ngeta
Nenda kwenye page ya Mama Chai Hizi Kazi kule X na IG mwambie Mama nataka kazi ukisema tujiajiri Mama ila mtaani kunatupiga mtaani kumekua kugumua tupeni hizo kazi, kesho utaitwa jengo jeupe ukapewe kazi, niamini nakwambia you should have guts to do that acha uogaAcha zako naomba kazi
Blood usitake msikie nimetolewa kwenye Panton ama sea tax kimya kimya.... Blood ohoo ......Nenda kwenye page ya Mama Chai Hizi Kazi kule X na IG mwambie Mama nataka kazi ukisema tujiajiri Mama ila mtaani kunatupiga mtaani kumekua kugumua tupeni hizo kazi, kesho utaitwa jengo jeupe ukapewe kazi, niamini nakwambia you should have guts to do that acha uoga
Unaenda kuiba nini huko kwenye panton na sea tax?Blood usitake msikie nimetolewa kwenye Panton ama sea tax kimya kimya.... Blood ohoo ......
Mje mnianzishie Uzi huku
Navuka zangu upande wa pili kwenda kimara, ubungo au mikocheniUnaenda kuiba nini huko kwenye panton na sea tax?
Kufanya nini kwanini usielekee Tungu au Magogoni?Navuka zangu upande wa pili kwenda kimara, ubungo au mikocheni
kazi za hapa na pale, magogoni sina connection hukoKufanya nini kwanini usielekee Tungu au Magogoni?
Kwa nini mnaharibu uzi wa mwenzenu?Unazingua nani dada, ushaanza kulewa sio ?
Samahani mkuu, nikukosea kibin-adamuKwa nini mnaharibu uzi wa mwenzenu?
Oya nyie panya si muende pm kuchat ujinga wenu munaharib Uzi wa mwenzenuKufanya nini kwanini usielekee Tungu au Magogoni?