Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

huo umbambanaji wako upo kwenye papuchi? mfyuuu nipitie mbali huko
ee mwenyezi Mungu kila mwanaume mwenye nia ya kunichuna,mvivu mvivu kama huyu mleta mada,asie na mpango wa kunipa hela kila nikipita mbele yake mpige upofu au unifanye ninuke kinyesi
Nimekupenda ghafla
 
JAMAA LANISHANGAZA KUTAFUTA kulelewa,

Na ujumbe limepaza hivi huyu amelewa?

Kwa mami wende jibanza
Eti kisa kulelewa!

Shida yako ipi kwanza
Unataka kuolewa?
 
Alafu replies zako zimejaa dharau hata kama atakuepo aliyekua na nia hyo unafikiri atakuja? hapo ulipo huna tofauti na mwanamke anae lilia penzi so you must be calm lolote utaloambiwa usipanic wapo wengi sana humu wanakusilizia if you're serious
Ngoja nimuite granny cc: faizafoxy
Umeniita?
 
Nimemsoma huyu kijana na majibu ya wengi mnayompa nnahisi amma mnaompinga au kumjibu kwa stihizai hamna uelewa wa maisha au m finyu sana vichwani mwenu.

Mimi nimependa alivyo muwazi.

Kazi zake alizosomea na industry aliyofanyia kazi zina uhusiano kabisa na matakwa yake.

Mimi ningemshauri atafute mke, kuna wengi humu jukwaani huwa wanatafuta waume, hii ndiyo fursa yenu.

Usikate tamaa kijana lakini ningefurahi zaidi ungetafuta wa kuoana nae wa kumfanyia yote badala ya wakufanya nae uasherati tu.

Hakika binti zangu wangekuwa hawajaolewa ningefanya kila njia nikuoze mmoja.

Nnakuahidi ntakutafutia mke kama u tayari kuoana nae si kufanya zinaa au uasherati.

This is a dream man. Ni mwanamke mpumbavu tu na muuza K asiyeyataka hayo.

Nani asiyependa kuhudumiwa?
 
Wakuu msishangae huyu kutafuta kulelewa
Mm nimeona ulaya dume limeekwa fridge open yaani kula kulala kwa kujua shughuli
Sasa huyu anaujuzi wa kumfanya mwanamke amwage mara 3 kabla ya kumgegeda hiyo ndio fani yenyewe
Hata mimi ni fundi wa hayo nina master katika fani ya kumfikisha demu
Kama yupo anaeweza anilee kwa kumpa huduma hiyo aseme tu
Nipo tayari
Ufundi ni wa hali ya juu
Ukijaribu uondoki
Na wewe tena[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Wakuu,

Kuna mtakaodhani natania au mtanitukana. Lakini heri nitangaze nia ili uwezo wa siri nilionao unisaidie wakati huu ninapoendelea kutafuta ajira.

Mimi ni Mtaalamu wa Massage & SPA, hoteli ilifungwa hivyo tukarudi majumbani na bado nimeyumba sana. Hapo nyuma hali hii ilipojitokeza, kuna mama mmoja aliyekuwa anapendelea kuja kufanyiwa Massage alitokea kunipenda hadi akanihamishia kwake.

Kwakweli nilimpa experience ambayo ni adimu kuipata mtaani au kwa wapenzi wako maana mimi nina-apply na taaluma yangu kabisa tunapokuwa chumbani. Alikuwa ananiacha nyumbani, akirudi nyumba safi, nimeshafua, nimepika (nina Certificate ya Catering/Mapishi kabla ya kuhamia kwenye SPA).

Then namuandaa kisaikolojia (kama tunavyofanyiaga wateja wetu), namkanda na kumpa Masaji...basi alikuwa anafika kileleni si chini ya mara 3 hata kabla sijamwingilia, so wakati mwingine nikawa navunga tu maana kachoka, basi tunalala. Maybe asubuhi ndo naweza kumpasha kidogo.

Tuliachana kwa amani kabisa and under her own terms, alitaka nimuoe wakati age difference ilikuwa kubwa sana kwakweli.

Sasa nimekuja kutafuta Mwanamke ambaye atanichukua tuishi wakati mie naendelea kutuma maombi ya kazi, na hata nikipata Penzi letu litaendelea tu na kwasasa niko tayari kuoa (mahari ntajitahidi kutafuta nijilipie mwenyewe).

Nitakupa mahaba, nitatunza nyumba na tutaishi kawaida kabisa wala sitajiskia vibaya kwa lolote au kuhisi kama ninalelewa...kwa mtakao sema "wewe ni mwanaume, huo sio utamaduni wetu", kwakweli bakini tu na utamaduni wenu, naamini mwanamke anaweza kubadili maisha ya mtu.

Mie ni mcheshi, ni kijana mpambanaji na ninajiheshimu. Dada/Mama kama upo na ungehitaji kampani yangu basi niPM, tuongee, tukipendana, maisha yaendelee.

Thanks.
Kweli umeisoma namba kijana.hongera urongo tehe teh
 
Roga, tukana, wanga uwezavyo...ila ninachokijua n kwamba wewe sio baba wala mama yangu. Na sitakutukana.
Kwa hiyo upendo wako ni kwa wenye vipato tu? Haya ngoja nifute kauli, na nikutakie msako mwema.
 
Nimemsoma huyu kijana na majibu ya wengi mnayompa nnahisi amma mnaompinga au kumjibu kwa stihizai hamna uelewa wa maisha au m finyu sana vichwani mwenu.

Mimi nimependa alivyo muwazi.

Kazi zake alizosomea na industry aliyofanyia kazi zina uhusiano kabisa na matakwa yake.

Mimi ningemshauri atafute mke, kuna wengi humu jukwaani huwa wanatafuta waume, hii ndiyo fursa yenu.

Usikate tamaa kijana lakini ningefurahi zaidi ungetafuta wa kuoana nae wa kumfanyia yote badala ya wakufanya nae uasherati tu.

Hakika binti zangu wangekuwa hawajaolewa ningefanya kila njia nikuoze mmoja.

Nnakuahidi ntakutafutia mke kama u tayari kuoana nae si kufanya zinaa au uasherati.

This is a dream man. Ni mwanamke mpumbavu tu na muuza K asiyeyataka hayo.

Nani asiyependa kuhudumiwa?

Eeee kwa hiyo hawa wanawake wote waliokuwa wanapinga haya ya kuhudumiwa wote ni wauza k na wapumbavu ?

Duuu haya bibi
 
Eeee kwa hiyo hawa wanawake wote waliokuwa wanapinga haya ya kuhudumiwa wote ni wauza k na wapumbavu ?

Duuu haya bibi


Amma moja katika hayo amma si wanawake.

Amma wafanya kisebusebu na kiroho kiko papo.
 
Hata mafunzo yetu ya Kiislam ni; kwa mali zao, uzuri wao, nasaba zao na dini zao. Pia mwanamke anatakiwa alishwe avishwe.

Hongera kijana kwa kuyaona hayo.

Umeniudhi pale tu ambapo mema yote hayo unataka kuyapoteza kwenye uasherati. Anza kwa hilo la kuoana direct.

Nnakusihi tafuta mke umfanyie hayo na mtaishi kwa raha mustarehe na si mwanamke wa kumfanyia hayo kabla ya kuoana.
 
Hata mafunzo yetu ya kidini ni kwa mali zao, uzuri wao, nasaba zao na dini zao. Pia mwanamke anatakiwa alishwe avishwe.

Hata hivyo si ninaweza kumlisha na kumvisha mke wangu bila hata yeye kutakiwa kutumia utajiri wake juu yangu?
Na kwa tamaduni zetu uwezo wa mwanaume kuitunza familia huku akimtendea mema mke wake ni kipimo cha uanaume kwa mwanaume husika.
 
Nimemsoma huyu kijana na majibu ya wengi mnayompa nnahisi amma mnaompinga au kumjibu kwa stihizai hamna uelewa wa maisha au m finyu sana vichwani mwenu.

Mimi nimependa alivyo muwazi.

Kazi zake alizosomea na industry aliyofanyia kazi zina uhusiano kabisa na matakwa yake.

Mimi ningemshauri atafute mke, kuna wengi humu jukwaani huwa wanatafuta waume, hii ndiyo fursa yenu.

Usikate tamaa kijana lakini ningefurahi zaidi ungetafuta wa kuoana nae wa kumfanyia yote badala ya wakufanya nae uasherati tu.

Hakika binti zangu wangekuwa hawajaolewa ningefanya kila njia nikuoze mmoja.

Nnakuahidi ntakutafutia mke kama u tayari kuoana nae si kufanya zinaa au uasherati.

This is a dream man. Ni mwanamke mpumbavu tu na muuza K asiyeyataka hayo.

Nani asiyependa kuhudumiwa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilisema hapo mwanzo kuwa ..., mwanamke atakayeweza kumwelewa huyu kijana lazima awe MTU mzima au mke wa mtu . .

Umesema vizuri saaaana Faiza ... [emoji106]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilisema hapo mwanzo kuwa ..., mwanamke atakayeweza kumwelewa huyu kijana lazima awe MTU mzima au mke wa mtu . .

Umesema vizuri saaaana Faiza ... [emoji106]


Yeyote aliyeisoma dini ya Kiislam na kuielewa hili la huyu kijana halitampa shida kabisa.
 
Hata hivyo si ninaweza kumlisha na kumvisha mke wangu bila hata yeye kutakiwa kutumia utajiri wake juu yangu?
Na kwa tamaduni zetu uwezo wa mwanaume kuitunza familia huku akimtendea mema mke wake ni kipimo cha uanaume kwa mwanaume husika.


Hakuna pahala nilipoona kuwa huyo kijana amedai anataka utajiri wa mwanamke.

Yeye ameonyesha "qualities" zake, ambazzo mimi nnaziona ni 'qualities" bora kabisa ambazo wanaume wengi hawana.

Wapi ulipoona kuwa huyo kijana kasema kuwa hatoitunza familia yake? Msome hapa kasemaje:

"Nitakupa mahaba, nitatunza nyumba na tutaishi kawaida..."

Hivi huwa mnakielewa mnachokisoma?
 
Back
Top Bottom