Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Love mmmnh kabisaaaKama huna upendo n ww na roho yako. But Love exists.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Love mmmnh kabisaaaKama huna upendo n ww na roho yako. But Love exists.
ila hiyo heading straight to the point XXXAsante mkuu inshallah.
Duh kwa hio ndio mrejesho?au unazugaring?lol anyhow hongera kuna watu wana ngozi ngumu, Yaani bomu hili hapa,unajilipua tu lol....haya mkuu hongera, muombe mods wafunge na topic, baba kampata mama, alililiiiiiAmekusikia, lakini amekudharau tu, kwahyo huna hoja mkuu. Asante kwa mchango wako
Wafunge topic kwani kuna mtu amekuita hapa?Duh kwa hio ndio mrejesho?au unazugaring?lol anyhow hongera kuna watu wana ngozi ngumu, Yaani bomu hili hapa,unajilipua tu lol....haya mkuu hongera, muombe mods wafunge na topic, baba kampata mama, alililiiiii
Alafu replies zako zimejaa dharau hata kama atakuepo aliyekua na nia hyo unafikiri atakuja? hapo ulipo huna tofauti na mwanamke anae lilia penzi so you must be calm lolote utaloambiwa usipanic wapo wengi sana humu wanakusilizia if you're seriousKwahyo ulitaka niogope nn labda mkuu?
Chuki or not, this isn't love, me and you know that!km umezoea chuki basi ndio maisha uliyoxhagua