Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

We hautatoka kimaisha, utapoteza mda mwingi kwa wanawake. Tangu lini mwanamke akamtoa mwanaume kimaisha? Waone hivi jiulize wanafanya kazi je mishahara zao zinaendaga wapi? Wanahongwa sana je hizo hongo wanazifanyiaga nin. Je kwann mwanamke humtegemea mwanaume siku zote? Ukipata jibu utaacha wazo hasi la kuwategemea wanawake
Asante kwa Theory. I decide NOT to buy it. Thanks
 
Hii ni zaidi ya umarioo[emoji1] [emoji1]
Tangazo lipo fresh sana, tena lina cv na experience ya kutosha.
*kila la kheri mkuu katika safari yako
Mkuu, kama ulilenga kuongea hivi ili nijiskie vibaya, umekwama. Jaribu statement ingine.
 
TUKANENI TU. ATAKAYE NIPENDA ATAKUJA PM BILA HATA KUJALI MANENO YENU.
 
Are you for real mtoa mada?

Well, umenifanya nifikirie kuhusu gender na jinsi roles zinabadilika kati ya mwanamke na mwanaume. Naona mambo yanabadilika kwa kasi sana Tz yetu.

Mtoa mada umeamua upingane na "social assumptioms" kwamba mwanaume hawezi fanya roles za mwanamke. Wewe unasema yes inawezekana tu.

Kwa mtazamo wangu watu wanahaki kukupinga maana hatujazoe hivyo. Sisi waafrika wengi mwanaume anategemewa awe bread winner sio kukaa nyumbani kusubiria mwanamke akuletee msoso mezani.

Nawaza baada ya miaka mingi mawazo yako yataonekana sawa tu.....tena sasahivi dunia inavyopigania usawa basi wanaume tunaanza kuona aaah haya mambo kumbe yanaweza kuwa kawaida tu.

Mwisho: hauna ujuzi mwingine uelekeze maarifa yako huko? Wewe huwezi kuendesha pikipiki uwe bodaboda?
Asante kwa kuelewa, pia hakuna mahali nimetaja kuwa nitakua "kula kulala"...nimesema nitaendelea kutafuta kazi. Usipotoshe mkuu.
 
Huyu bwege tutamtukana sana hapa lakini akimpata demu wako au mkeo au dadako nakuambia utalia kama mtoto. Huyu kazi yake kitaaluma ni kufurahisha watu. Kama unaweza mikazi yote ya kufua na kupika si ukafungue udobi au houseboy? Unataka ufugwe kama msukule. Kwa kupenda mteremko ipo siku utaliwa bila kiwese cha KY!! *****
 
Wooote mnaomshambulia IamHumble, mleta mada au ombi lake hapa ..., ni WAJINGA .. !

Natoa sababu za ujinga wenu . .

1. Mr Humble ni mwanaume anayetaka kupata ujira wake kwa kumhudumia mwanamke vizuri .., na pia mwanamke huyo apate raha zaidi ya kuwa mke...
Kuna kosa gani mwanamke kumlipa mume wake kama mwanamke huyo ana kipato cha kutosha .. ?!
Nawafahamu wanaume wanaowalipa wake zao mshahara kwa ajili ya huduma mama/mke anazotoa kwa familia ... Jee, kuna ubaya ktk hili.. ?

2. Mr Humble anaweza kufaa sana kuendesha Hotel, Mgahawa, Saloon, au biashara nyingine za Hospitality ...
Akipata mke mwenye nguvu na akili ya biashara ..., tayari hawa couples wataongeza sana kipato chao ... Wakati huo huo wife wake ata enjoy saaaana kufikishwa kileleni, kuwa pampered .., kupata watoto, kurembeshwa ...nk nk ...

Ni wanawake wangapi wana enjoy ndoa zao kwa kufikishwa kileleni, kuhudumiwa vizuri, kupikiwa na wapenzi wao au waume zao .. ? Yaani kweli wanawake hawataki huduma hizi nzuri hivi ..?! [emoji15]

Kuna wanawake wengi tuu wanawahudumia waume zao kifedha saana ..., lakini hawapati raha yoyote ya maana in return ..

Mwanamke atakayechukua fursa hii ..., na akiwa na akili ..., atamfaidi saaaana Iamhumble ...
Bahati mbaya sana wanawake wanaoweza kumwelewa huyu bwana ni wake za watu, na wanawake watu wazima ... Vitoto havitamwelewa . .

Msimtukane huyu bwana, ana hoja nzuri tuu . .
 
Haya weee

Ila atakaye kufata nitapenda akifukuza mfanyakazi, nawe uweze kufanya kazi zote za nyumbani sio kula kulala tu.

Uvivu utakuisha na labda utabahatika kupata atakaye fungua akili yako, hata kilimo ukafanye ulete chenji mle zako pia.
Wapi nimetamka ntakula vya huyo mrembo wangu? wapi nimesema nitakaa siku zote bila kazi?
 
Wooote mnaomshambulia IamHumble, mleta mada au ombi lake hapa ..., ni WAJINGA .. !

Natoa sababu za ujinga wenu . .

1. Mr Humble ni mwanaume anayetaka kupata ujira wake kwa kumhudumia mwanamke vizuri .., na pia mwanamke huyo apate raha zaidi ya kuwa mke...
Kuna kosa gani mwanamke kumlipa mume wake kama mwanamke huyo ana kipato cha kutosha .. ?!
Nawafahamu wanaume wanaowalipa wake zao mshahara kwa ajili ya huduma mama/mke anazotoa kwa familia ... Jee, kuna ubaya ktk hili.. ?

2. Mr Humble anaweza kufaa sana kuendesha Hotel, Mgahawa, Saloon, au biashara nyingine za Hospitality ...
Akipata mke mwenye nguvu na akili ya biashara ..., tayari hawa couples wataongeza sana kipato chao ... Wakati huo huo wife wake ata enjoy saaaana kufikishwa kileleni, kuwa pampered .., kupata watoto, kurembeshwa ...nk nk ...

Ni wanawake wangapi wana enjoy ndoa zao kwa kufikishwa kileleni, kuhudumiwa vizuri, kupikiwa na wapenzi wao au waume zao .. ? Yaani kweli wanawake hawataki huduma hizi nzuri hivi ..?! [emoji15]

Kuna wanawake wengi tuu wanawahudumia waume zao kifedha saana ..., lakini hawapati raha yoyote ya maana in return ..

Mwanamke atakayechukua fursa hii ..., na akiwa na akili ..., atamfaidi saaaana Iamhumble ...
Bahati mbaya sana wanawake wanaoweza kumwelewa huyu bwana ni wake za watu, na wanawake watu wazima ... Vitoto havitamwelewa . .

Msimtukane huyu bwana, ana hoja nzuri tuu . .
ASANTE kwa kuwaelewesha. Yaani nimetaka kulia kwanini jambo hili linaonekana Negative wakati ni hali ya kawaida kibinadamu na kupendana ni wawili..sio watatu. Kwahyo najua nitapata mwanamke tutakae fanya nae maisha, matusi yao hayajaniathiri mimi au huyo ajae. Mungu nibariki.
 
Huyu bwege tutamtukana sana hapa lakini akimpata demu wako au mkeo au dadako nakuambia utalia kama mtoto. Huyu kazi yake kitaaluma ni kufurahisha watu. Kama unaweza mikazi yote ya kufua na kupika si ukafungue udobi au houseboy? Unataka ufugwe kama msukule. Kwa kupenda mteremko ipo siku utaliwa bila kiwese cha KY!! *****
Kama "Ending" yako ndio ilikuwa Target, nikupe pole kwa kujichosha kuniandikia maneno mengi.
 
Back
Top Bottom