Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

haahaahaahaa! wavulana wa dar bhana mnanifurahisha sana
 
Wakuu msishangae huyu kutafuta kulelewa
Mm nimeona ulaya dume limeekwa fridge open yaani kula kulala kwa kujua shughuli
Sasa huyu anaujuzi wa kumfanya mwanamke amwage mara 3 kabla ya kumgegeda hiyo ndio fani yenyewe
Hata mimi ni fundi wa hayo nina master katika fani ya kumfikisha demu
Kama yupo anaeweza anilee kwa kumpa huduma hiyo aseme tu
Nipo tayari
Ufundi ni wa hali ya juu
Ukijaribu uondoki
Waambie hao.
 
Tanzania ya viwanda tutaifikia kweli na vijana wenyewe utindio ubongo kama hawa mmmh mungu tusaidie
 
njoo pm tuyajenge uskonde hata mahari ntakupa mkopo wenye masharti nafuu
 
Wakuu,

Kuna mtakaodhani natania au mtanitukana. Lakini heri nitangaze nia ili uwezo wa siri nilionao unisaidie wakati huu ninapoendelea kutafuta ajira.

Mimi ni Mtaalamu wa Massage & SPA, hoteli ilifungwa hivyo tukarudi majumbani na bado nimeyumba sana. Hapo nyuma hali hii ilipojitokeza, kuna mama mmoja aliyekuwa anapendelea kuja kufanyiwa Massage alitokea kunipenda hadi akanihamishia kwake.

Kwakweli nilimpa experience ambayo ni adimu kuipata mtaani au kwa wapenzi wako maana mimi nina-apply na taaluma yangu kabisa tunapokuwa chumbani. Alikuwa ananiacha nyumbani, akirudi nyumba safi, nimeshafua, nimepika (nina Certificate ya Catering/Mapishi kabla ya kuhamia kwenye SPA).

Then namuandaa kisaikolojia (kama tunavyofanyiaga wateja wetu), namkanda na kumpa Masaji...basi alikuwa anafika kileleni si chini ya mara 3 hata kabla sijamwingilia, so wakati mwingine nikawa navunga tu maana kachoka, basi tunalala. Maybe asubuhi ndo naweza kumpasha kidogo.

Tuliachana kwa amani kabisa and under her own terms, alitaka nimuoe wakati age difference ilikuwa kubwa sana kwakweli.

Sasa nimekuja kutafuta Mwanamke ambaye atanichukua tuishi wakati mie naendelea kutuma maombi ya kazi, na hata nikipata Penzi letu litaendelea tu na kwasasa niko tayari kuoa (mahari ntajitahidi kutafuta nijilipie mwenyewe).

Nitakupa mahaba, nitatunza nyumba na tutaishi kawaida kabisa wala sitajiskia vibaya kwa lolote au kuhisi kama ninalelewa...kwa mtakao sema "wewe ni mwanaume, huo sio utamaduni wetu", kwakweli bakini tu na utamaduni wenu, naamini mwanamke anaweza kubadili maisha ya mtu.

Mie ni mcheshi, ni kijana mpambanaji na ninajiheshimu. Dada/Mama kama upo na ungehitaji kampani yangu basi niPM, tuongee, tukipendana, maisha yaendelee.

Thanks.
Wenzio wanafika KIBO na MAWENZI kule Mount kilimanjaro,weee unawaza k
 
Mwanamme kujitangaza anataka kulelewa na mijimama,kazi yake ni kumpikia jimama na kumfikisha kileleni.
Ingekuwa n tangazo, ningepost kwny jukwaa la Matangazo Madogo madogo..kwahyo kwasasa ww ndo hujielewi.
 
Ungebaki na huyo huyo make wanawake siku hizi hatutaki ujinga!! Kwann mliachana kama ulikuwa unamhudumia vizuri!! Wajinga kama huyo wachache sana raha ya mwanaume aonyeshe uanaume wake buana!!
 
Ungebaki na huyo huyo make wanawake siku hizi hatutaki ujinga!! Kwann mliachana kama ulikuwa unamhudumia vizuri!! Wajinga kama huyo wachache sana raha ya mwanaume aonyeshe uanaume wake buana!!
Wewe ni wangapi wamekuacha hadi uninyooshe kidole mm?? pia sababu ya kuachana nimeiandika..sasa sijui Punguani ni nani kati yetu mkuu
 
Back
Top Bottom