Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

Mkuu mm siogopi watu wanaodhihaki mambo ya watu Inaonyesha ni kiasi wasivyojiamini.
Mimi sijakudhihaki chief, nimeonesha tu ni jinsi gani unatakiwa kujitoa kama mwanaume ataamua kuishi kama wewe.
 
We MPUMBAVU, inuka hapo ulipokaa chukua kila kitu chako nenda Fb ukatafute Wapumbavu wenzio ujadili nao
Nimekureport kwa kunitukana. Pia Facebok naijua lakini siitumii. Isitoshe nipo jukwaa husika, tatizo lako nini??
 
Wameshatoka kwenye graduation [emoji310] huko sasa wa natafuta fursa kila namna njoo tu some 12345
Mku mm sio mwanafunzi...hakuna mahali nimetaja mm n mwanafunzi. Kama nia yako ni kuchafua uzi wangu, endelea. Lakini kama una akili timamu, utafata ya kwako.
 
Sitakutukana. Pia ungekuwa na mantiki sana kama ningepost kutafuta mpenzi kwenye jukwaa la Jokes au Siasa. Lakini unachokifunua hapo ni wivu tu na shida zako.
Weka picha yako au omba kipindi live pale mawingu tv, uhojiwe ili kupanua wigo wa soko lako. Naona upo serious.
 
Mimi sijakudhihaki chief, nimeonesha tu ni jinsi gani unatakiwa kujitoa kama mwanaume ataamua kuishi kama wewe.
Bado hoja zetu n tofauti kabisa. Mimi swala langu nimeliandika kwa kirefu na nimeeleweka, kutokunielewa kwako sio tatizo kabisa.
 
INGIA NA ID YAKO YA SIKU ZOTE, MWENYEWE UNAJIFICHA,UNAJUA KUWA NI JAMBO LA AIBU UNALOLIFANYA...WADADA WA JF MUOGOPENI HUYU KAMA UKOMA,ANGESEMA NINA MIPANGO NITAFANYA HIKI AU KILE TUKIWA PAMOJA,INSHORT HANA MIPANGO ENDELEVU, JIONGEZENI MUUMIE,
 
Chanzo cha kuongezeka bwabwaz Tanzania,vijana kupenda kitonga,kama huyu dogo akikutana na magwiji anapewa gari na mafuta anajaziwa wiki ya kwanza,wiki ya pili watu wanatatua linda...
 
..duh...sasa wewe una tofauti gani na shoga!...kwa miaka 10 hii ijayo nchi hii itajaa wauzaji K na MK......
 
INGIA NA ID YAKO YA SIKU ZOTE, MWENYEWE UNAJIFICHA,UNAJUA KUWA NI JAMBO LA AIBU UNALOLIFANYA...WADADA WA JF MUOGOPENI HUYU KAMA UKOMA,ANGESEMA NINA MIPANGO NITAFANYA HIKI AU KILE TUKIWA PAMOJA,INSHORT HANA MIPANGO ENDELEVU, JIONGEZENI MUUMIE,
Wamekusikia unaowaambia...and also you nees to visit a Doctor.
 
Back
Top Bottom