Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

Are you for real mtoa mada?

Well, umenifanya nifikirie kuhusu gender na jinsi roles zinabadilika kati ya mwanamke na mwanaume. Naona mambo yanabadilika kwa kasi sana Tz yetu.

Mtoa mada umeamua upingane na "social assumptioms" kwamba mwanaume hawezi fanya roles za mwanamke. Wewe unasema yes inawezekana tu.

Kwa mtazamo wangu watu wanahaki kukupinga maana hatujazoe hivyo. Sisi waafrika wengi mwanaume anategemewa awe bread winner sio kukaa nyumbani kusubiria mwanamke akuletee msoso mezani.

Nawaza baada ya miaka mingi mawazo yako yataonekana sawa tu.....tena sasahivi dunia inavyopigania usawa basi wanaume tunaanza kuona aaah haya mambo kumbe yanaweza kuwa kawaida tu.

Mwisho: hauna ujuzi mwingine uelekeze maarifa yako huko? Wewe huwezi kuendesha pikipiki uwe bodaboda?
 
Duuuuu! Yesu shuka.

Kwa hiyo ukaolewa!

Mtafte tena huyo huyo mama,au contact zake ulishatupa?
Then tuma pic labda kuna mtu ataweza kuwa interested.
 
huo umbambanaji wako upo kwenye papuchi? mfyuuu nipitie mbali huko
ee mwenyezi Mungu kila mwanaume mwenye nia ya kunichuna,mvivu mvivu kama huyu mleta mada,asie na mpango wa kunipa hela kila nikipita mbele yake mpige upofu au unifanye ninuke kinyesi
Acha mbwembwe
 
hahaaaa hupati jimama aisee,wenyewe tunatafuta kulelewa,lol 🙄🙄🙄😎😎😎😎😎😎
 
huo umbambanaji wako upo kwenye papuchi? mfyuuu nipitie mbali huko
ee mwenyezi Mungu kila mwanaume mwenye nia ya kunichuna,mvivu mvivu kama huyu mleta mada,asie na mpango wa kunipa hela kila nikipita mbele yake mpige upofu au unifanye ninuke kinyesi
Mkuu, samahan kama nimekukwaza wewe binafsi ila pia kuna walionielewa. Mimi sioni tatizo kabisa kwenye hili swala langu.
 
HAHHAHAHAHAHAHAHAH,sasa kama upo tayari kuoa,fanya umrudie yule mama aliekuambia umuoe ukamtolea nje
 
Mwanaume akitaka akuoe akuweke ndani upo tayari?

Maana naona una ujuzi na kazi za kina mama
Sishangai dhihaka zako mkuu, mimi najiheshimu sana. Na ninaheshimu wanawake pia...sasa nashangaa wewe kunitamkia hivi
 
Kuna mshkaji wangu aliniambia "Castr wewe huwezi umarioo, yani demu akienda kazini we huku nyuma unachemsha njegere akirudi aziunge, ile nguo anayoipenda sana unaifua kesho aendee kazini, wewe unaweza?" Nikamjibu "Mh hayo yote kwa ajili ya kulelewa siamini kama kuna mwanaume anaweza".
Hatimaye nimekutana na uthibitisho kwamba inawezekana.

Kwa hizo kazi ulizojinadi unaweza mimi nashauri fanya mchakato wa kuomba kazi ya uhouse boy pia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] eti kuchemsha njegere aseee nimecheka kichizi
 
Acha kujiendekeza mtoto wakiume.

Hoja yako nimeieleza vizuri kwenye moja ya paragraoh kwny uzi wangu. Kwamba ni wazi mm n mtoto wa kiume, pili sijipendekezi, bali natafuta mwenza atakaenisaidia eneo flani pia..zaidi ya hapo mkuu utakuwa na wivu tu.
 
Back
Top Bottom