Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashtuka vipi wakati nimeandika jambo langu bila kutukana au kukashfu mtu tena ndani ya jukwaa husika!! Kwanini usiende kwenye mada zinazokuvutia kuliko kunishangaa mimi ambae hata sikujui??...mm na ww nani anaingilia uhuru wa mwingine?Mmmh nimeshtuka kidogo hata Mimi mwenyewe
Ongea yote, lakini wewe ndio una matatizo...nimekutag? kuna haja ya wewe kuzungumzia hitaji langu la mpenzi wakati sio wewe? heshima kitu cha bureUshauri tu kwako:
Huo usafiri utakao kuwa unatumia kumfikishia kileleni bora uufanye daladala kinyume na hapo utaliwa ule mtandao wa simu kwa hisani wa watu wa marekani.
Aiseeeeh mbona maneno ya ukatili mkubwahuo umbambanaji wako upo kwenye papuchi? mfyuuu nipitie mbali huko
ee mwenyezi Mungu kila mwanaume mwenye nia ya kunichuna,mvivu mvivu kama huyu mleta mada,asie na mpango wa kunipa hela kila nikipita mbele yake mpige upofu au unifanye ninuke kinyesi
Hata hao wanaopinga wana hiyo haki ya kupinga kinachojadiliwa humuYaani hata mimi nashangaa hizi akili za watu wa aina hii. JF ni jukwaa huru naandika nachohitaji bila kumung'unya maneno, lkn kuna watu kazi yao kupinga na ubishi.