Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha Maneno hayo, kuna wanawake wezio watachukua fursa.huo umbambanaji wako upo kwenye papuchi? mfyuuu nipitie mbali huko
ee mwenyezi Mungu kila mwanaume mwenye nia ya kunichuna,mvivu mvivu kama huyu mleta mada,asie na mpango wa kunipa hela kila nikipita mbele yake mpige upofu au unifanye ninuke kinyesi
mchaga hutaki raha,we mwenyewe unataka pesaHaya walezi kazi kwenu
Sawa Mkuu unaejielewa,Endelea kutafuta Jimama ulikifikishe kileleni na Likulee katika kipindi hiki ambacho haujapata kazi,I hope ukishapata kazi utaacha biashara ya kufikisha majimama kileleni maana utakuwa unajiingizia kipato chako mwenyewe.Ingekuwa n tangazo, ningepost kwny jukwaa la Matangazo Madogo madogo..kwahyo kwasasa ww ndo hujielewi.
Anakuparamiaje?? Uliwahi kuparamiwa??Mkuu, kumbuka mm nina taaluma yangu, pia nimepost kuhusu kutafuta mpenzi na nikaainisha uwezo wangu/sifa zangu, sasa sijui kwann unaniparamia
Nitampenda kuliko unavyojipenda.Sawa Mkuu unaejielewa,Endelea kutafuta Jimama ulikifikishe kileleni na Likulee katika kipindi hiki ambacho haujapata kazi,I hope ukishapata kazi utaacha biashara ya kufikisha majimama kileleni maana utakuwa unajiingizia kipato chako mwenyewe.