Natafuta kazi ila sina aina yoyote ya ujuzi

Natafuta kazi ila sina aina yoyote ya ujuzi

Upo sehemu nzuri kwenye mgodi wa dhahabu nyamongo , nenda uombe hata kazi ya ulinzi, utapewa mafunzo at the end u will become to be employee, pia usipende kusema huna ujuzi wowote , mimi naamini kila mtu ana professionalism yake, sijasoma sana ila kudhubutu kwangu hunifanya kujua mengi zaidi.
 
Nilipo maliza form 6 nilisugua bench kitaa nililazimika kubeba zege kwa mafundi ujenzi mpaka nilipo pata nafasi ya kwenda chuo.Kaombe kaz kwa mafundi ujenzi ,ujishikize acha kulialia mkuu una mikono na miguu acha kujihurumia.
 
Nilipo maliza form 6 nilisugua bench kitaa nililazimika kubeba zege kwa mafundi ujenzi mpaka nilipo pata nafasi ya kwenda chuo.Kaombe kaz kwa mafundi ujenzi ,ujishikize acha kulialia mkuu una mikono na miguu acha kujihurumia.
nakumbuka niliwahi kwenda saiti moja ivi tukaanza kubeba zege tulikuwa tunamwaga kwenye mashine ya kuchangana baada ya kama 2 hours tukaambiwa kuna mifuko 40 ya siment !! ww nikaona niache tu nika kimbia 😅 nikarud shule chap
 
Unanizalilisha kweli kweli wa nyumbani, iweje ukose ujuzi wowote na wewe ni wakiume unatarajiwa uje kua kiongozi wa familia? Haya wanajamii forums mimi ni msomi wa level ya stashahada nilitoka kwenye ajira na kwasasa nimebobea kwenye udereva na nina leseni yenye madaraja A, A2, B, C1, C2, C3, D, E, F na G, natafuta gari ndogo ya abiria kwa mkataba, au hata bajaji sio mbaya, namba zangu ni 0688066178, ahsante.
 
Una utofauti gani na kile kiumbe chenye Maskio marefu Mawili na Mkia mrefu.. (mboga ya wahehe)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ati mboga ya akina nani????
 
Back
Top Bottom