Tzr786
Member
- Jan 17, 2018
- 87
- 65
Habari wana JF wa jamvi hili la Ajira. Nina diploma ya Logistics and Transport Management kutoka katika chuo cha usafirishaji (N.I.T), plus Microcomputer course kutoka University of Dar es salaam (U.C.C).
Nina experience ya miaka miwili kusimamia magari na madereva, nina skills za kutosha katika Transport management, Transport operation, Fleet supervisor na vehicle tracking.
Mwisho nina uwezo wa kufanya kazi bila ya usimamizi mkubwa, nje na ndani ya team pia uzungumzaji wa lugha za kingereza na kiswwhili kwa ufasaha, mwepesi kuendana na mazingira na changamoto mpya, uwezo wa kudumisha uhusiano na wateja. uwezo kuendeleza na kuboresha huduma za biashara
Asante
mawasiliano:
yakutiabeid87@gmail.com
0656000321
Nina experience ya miaka miwili kusimamia magari na madereva, nina skills za kutosha katika Transport management, Transport operation, Fleet supervisor na vehicle tracking.
Mwisho nina uwezo wa kufanya kazi bila ya usimamizi mkubwa, nje na ndani ya team pia uzungumzaji wa lugha za kingereza na kiswwhili kwa ufasaha, mwepesi kuendana na mazingira na changamoto mpya, uwezo wa kudumisha uhusiano na wateja. uwezo kuendeleza na kuboresha huduma za biashara
Asante
mawasiliano:
yakutiabeid87@gmail.com
0656000321