Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Jamaa yangu Wewe kweli haupo serious na Maisha yako, cha kukushauri hatua ya kwanza Hama hapo Riverside hamia sehemu nyingine uishi ukishahama nitafute nikupe muongozo wa nini ufanye na hio elimu uliyonayo, GPA inasoma ngapi?Mkuu sikuiona maana hapo kati simu yangu iliharibika kwa hiyo sikuwa na update