Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
..
Hujutiii ila bila shaka uliumia sana ulipoishia njiani, wewe na Doto Magari hamna tofauti sana.
Sema ni ufala sana mtu uwe na sifa zako ulizozisotea school alafu uje street uanze kutia huruma me ndo maana shule sijutii kuishia njiani maana nimejifunza kwamba wasomi wengi wana limit kwenye fikira zao, wanaamini kuajiriwa na kulipwa ndo goals zao. Wakati me nikipiga jicho naona i can be anyone i want, i can own anything i want, simpaparikii yoyote na wala simsujudii yoyote wote naona sawa tu… kiufupi sioni limit kwangu naona nahitaji tu ubunifu kidogo na uthubutu then nianze kujipimia mihela tu.
Hujutiii ila bila shaka uliumia sana ulipoishia njiani, wewe na Doto Magari hamna tofauti sana.