Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Sema ni ufala sana mtu uwe na sifa zako ulizozisotea school alafu uje street uanze kutia huruma me ndo maana shule sijutii kuishia njiani maana nimejifunza kwamba wasomi wengi wana limit kwenye fikira zao, wanaamini kuajiriwa na kulipwa ndo goals zao. Wakati me nikipiga jicho naona i can be anyone i want, i can own anything i want, simpaparikii yoyote na wala simsujudii yoyote wote naona sawa tu… kiufupi sioni limit kwangu naona nahitaji tu ubunifu kidogo na uthubutu then nianze kujipimia mihela tu.
DuhBusiness IT kbs hapa kunakitu hakipo sawa futa mawazo ya kwamba unaelimu fanya kazi yyt
Soma post and replyNaaam brother, nimeitika..whats up!?
Naaam Swadakta kabiisa...Soma post and reply
Wanaochomelea mageti ndo unaona hawajasoma sio? 😁😁😁 kwa hizo akili zako bado hujajua maisha ni nini haya tafuta ajira bludHongera babaa.
Acha niendelee na ufala wangu huu huu humu. Kila mtu ana umuhimu wake katika eneo husika.
Hata mimi leo hii najiuliza, hivi watu wote wangesoma, akina nani wangekuwa wanatuchomea mahindi mtaani? Ila jibu nimepata.
Hongera sana mkuu.
Nimekuelewa mnoo, nilipitia changamoto kama izo uko nyuma ila nashukuru mungu kwa sasa kidogo mambo yame settle.Jamani ndugu zangu, wenye makampuni, viwanda au wenye ndugu, marafiki na wadau.
Naomba kazi hata ya kujitolea nipate angalau experience ya kazi.. Nipo tayari kujitolea jamani, maana nikienda directly kuomba kazi na kupereka Cv narudishwa punde tu nikifika mapokezi, naambiwa nafasi hazipo hapa na hatuchukui intern. Kazi zetu tunatanganza kwenye ajira portal.
Mimi ni fresh graduate. Nina degree ya Business IT.
Naweza kufanya kazi za database administration (mySQL database, mariaDB Ubuntu server configuration?, business analysis, Business Intelligence, Business Process management, customer relationship management.
Pia nina basic knowledge ya Cyber security, advanced knowledge in LINUX
Pia nipo tayari kufanya kazi yoyote nitakayopewa na kampuni tofauti na mambo niliyosomea.
Nipo Dar es salaam. Ubungo RiverSide.
Mawasiliano; Normal call: 0616604372
Whatsap: 0620224372.
Jamani mnisaidie, sina pakuenda, sina ndugu yeyote anayefanya kazi serikalini walau wa kunisaidia kutafuta hata nafasi ya internship.
Msaada wenu wakuu wangu, familia inanitegemea kama msomi wa nyumbani, japo ndo nimemaliza chuo. Nyumbani patupu.