Kuna kaz ya kuuza maji ya kandoro mbagala apa kula juu ya boss mshahara 90k kwa mwez
😂Hiyo Kazi mtaji wake hauzidi elfu 5
Kama atakubali kufanya hii Kazi ni bora apatiwe mtaji
Mtaji ef 5?? Labda ikiwa una vifaa vyako mkuu uko center stend kbsa mbgala unalipa kod friza umeme maji afu ef tano wote si wangefanya hiyo kaz kwa ef tano
Hyo ni theory fanyia practical ndo uone km ni rahis km unavosemaNdoo ndogo haizidi 2k
Ananunua barafu haizidi 1K
Anafunga then anaanza kutembeza
Hyo ni theory fanyia practical ndo uone km ni rahis km unavosema
Kuna graduates wanazoa taka, tembea kwingi uone mengiSawa Ila Kijana akiyetoka chuo kuajiriwa kuuza kandoro Kwa ujira wa 90K unahisi ni sahihi?.
Kuna graduates wanazoa taka, tembea kwingi uone mengi
Bas waajiri ww mkuu kwa huo mshahar mzur na kaz nzur tunachofny apa ni mtu ambae han mishe apate mishe ya kupg wengn mpm kod mtu anashndw kujikim sa huon apo ni 90 afu kula inakua juu yngSawa Ila Kijana akiyetoka chuo kuajiriwa kuuza kandoro Kwa ujira wa 90K unahisi ni sahihi?.
Kukosa kazi kusikie TU kwa mwenzio