Natafuta kazi, nimesomea Uandishi na Utangazaji wa habari

FravoB

Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
22
Reaction score
59
Habari zenu watanzania wenzangu.

Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya uandishi na utangazaji wa habari.

Pia Hata kwa kazi ya kujishikiza huku nasubiri cheti, nipo dar es salaam wilaya ya ilala, ukonga. Kazi ya dukani hata mashuleni nafanya. Asanteni πŸ™
 
Nichek Tufanye kazi sime online tv 0688229455
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…