Utumishi wako fair
JF-Expert Member
- Nov 12, 2021
- 429
- 1,340
Habari wanajukwaa naamini humu kuna watu wa aina Tofauti Tofauti na wengine wamepata kazi zao kupitia hili jukwaa.
Hivyo nakuja mbele yenu kuomba Nafasi au Connection itakayonisaidia Kuweza kupata Ajira ...
Elimu yangu NI BACHELOR DEGREE IN INFORMATION TECHNOLOGY.
nimespecialize kwenye Networking, System Administrator. Linux / Unix server administrator Pamoja na Software & Hardware Maintanance. Uzoefu wa kazi ni 2 Years.
Mkoa niliopo Ni DAR ES SALAAM, na naweza kufanya kazi mkoa wowote
Yoyote mwenye kuweza kunisaidia ,Mungu ambariki Sana ,hata kunishauri tu jaribu Kwenda kuomba sehemu Fulani.
ASANTEE 🙏
Hivyo nakuja mbele yenu kuomba Nafasi au Connection itakayonisaidia Kuweza kupata Ajira ...
Elimu yangu NI BACHELOR DEGREE IN INFORMATION TECHNOLOGY.
nimespecialize kwenye Networking, System Administrator. Linux / Unix server administrator Pamoja na Software & Hardware Maintanance. Uzoefu wa kazi ni 2 Years.
Mkoa niliopo Ni DAR ES SALAAM, na naweza kufanya kazi mkoa wowote
Yoyote mwenye kuweza kunisaidia ,Mungu ambariki Sana ,hata kunishauri tu jaribu Kwenda kuomba sehemu Fulani.
ASANTEE 🙏