Natafuta kazi, nina elimu ya Kidato cha Nne na Certificate ya Secretarial Courses

Winner22

Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
17
Reaction score
38
Habari Wapendwa, Mimi ni kijana wa kike Nina umri wa miaka 35, Elimu yangu kidato cha nne na Nina certificate ya secretarial.

Natafuta kazi kati ya hizi:-
  • Secretary
  • Stationary
  • Reception
  • Costumer care
Nina uzoefu wa kazi kwa miaka 10 katika computer full na stationary service. Nimewahi kufanya kazi sehemu mbalimbali katika Stationary, Ofisi na Shule.

Nipo Mkoa wa Arusha na Niko tayari kufanya kazi katika Mkoa wa Arusha, Manyara, Dodoma.

Ahsanteni.
 
Waeleze Uko mkoa gani dada ?ili mwenye uwezo ajua anakusaidiaje.
 
Kama una account ajira portal ingia,UDSM wanahitaj secretary jaribu kuomba mamy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…