Natafuta kazi nina Shahada ya pili ya Takwimu

Natafuta kazi nina Shahada ya pili ya Takwimu

Habari wana jamvi. Mimi ni muhitimu wa Shahada ya pili katika Takwimu, natafuta kazi sehemu yoyote Tanzania.
Ushauri wangu fungua account ya linked in weka details zako. Kule fanya subscribe kwenye kazi za data, data science ili upate alerts. Unaweza ukatafutaonline courses kama za Udemy ukajifunza machine learning pia maana ukiwa na statistics ni rahisi kuilewa. Usiache hiyo stats ikalala, maana tunaenda kwenye ulimwenu ambao data science na application yake kwenye machine learning ni hot cake.

Pia tumia links kama hizi kupata alerts za jobs
 
Habari wana jamvi. Mimi ni muhitimu wa Shahada ya pili katika Takwimu, natafuta kazi sehemu yoyote Tanzania.
Umebahatika kuangalia zile nafasi za kazi za muda kwenye Halmashauri yako? zile za Mwandishi msaidizi na BVR kit operator?, ila ndo sijui upo wilaya gani maana baadhi ya wilaya zimeshapita na kufanyika
 
Back
Top Bottom