Mimi mhitimu wa shahada ya kwanza ya uhasibu ( Bachelor degree of accounting-IFM) ,Mwenye uzoefu wa mwaka mmoja katika fani ya uhasibu.pia nina uzoefu katika application za MS Exel,MS word , MS PowerPoint, typing .
Kwa sasa nafanya CPA (T) nipo intermediate level
Nipo dar es salaam pia naweza fanya kazi mkoa wowote.
Msaada wenu wadau namba yangu 0744532492
Kwa sasa nafanya CPA (T) nipo intermediate level
Nipo dar es salaam pia naweza fanya kazi mkoa wowote.
Msaada wenu wadau namba yangu 0744532492