Kila la kheri mhitimu wa chuo changu cha zamani!!!Mimi mhitimu wa shahada ya kwanza ya uhasibu ( Bachelor degree of accounting-IFM) ,Mwenze uzoefu wa mwaka mmoja katika fani ya uhasibu.pia none uzoefu katika application za MS Exel,MS word , MS PowerPoint, typing .
Kwa sasa nafanya CPA (T) nipo intermediate level
Nipo dar es salaam pia naweza fanya kazi mkoa wowote.
Msaada wenu wadau namba yangu 0744532492
Unakazi tukusaidieKila la heri mkuu ila nilivyoona CPA nikadhani unayo tayari ili tushirikiane kwenye jambo fulani
Omba kazi kwenye auditing firms ili ujifunze kazi kwanza, ukifanya miaka 2-3 kazi zitakuwa nyingi mpaka utakuwa unachaguaMimi mhitimu wa shahada ya kwanza ya uhasibu (Bachelor degree of accounting-IFM) mwenye uzoefu wa mwaka mmoja katika fani ya uhasibu pia nina uzoefu katika application za MS Exel, MS word, MS PowerPoint na fast typing skill.
Kwa sasa nafanya CPA (T) nipo intermediate level.
Nipo Dar es Salaam pia naweza fanya kazi mkoa wowote.
Msaada wenu wadau namba yangu
Call, text and WhatsApp 0744532492
Sina kazi ila nilikuwa nahitaji CPA ambae hayupo kwenye full time employment tushirikiane jambo fulani.Unakazi tukusaidie
Ok nikuunganishe maana nawajua wengiSina kazi ila nilikuwa nahitaji CPA ambae hayupo kwenye full time employment tushirikiane jambo fulani
MeKe or Me
Huo mwaka moja ulifanyia wapi?
Waone jamaa wanaitwa Tanzania Association of Accountants sizani kama utamaliza mwezi bila mchongo. Wapo pale pale NBAAMimi mhitimu wa shahada ya kwanza ya uhasibu (Bachelor degree of accounting-IFM) mwenye uzoefu wa mwaka mmoja katika fani ya uhasibu pia nina uzoefu katika application za MS Exel, MS word, MS PowerPoint na fast typing skill.
Kwa sasa nafanya CPA (T) nipo intermediate level.
Nipo Dar es Salaam pia naweza fanya kazi mkoa wowote.
Msaada wenu wadau namba yangu
Call, text and WhatsApp 0744532492